Chumvi imeadimika mitaani

Chumvi imeadimika mitaani

Kama taarifa zako ni za kweli

Basi huu ni mchezo wa wazalisha chumvi

Wanataka chumvi iadimike ili ipande bei wapate faida maradufu

Na kama kawaida Tanzania bidhaa ikipanda bei usitegemee ishuke
 
Mmh! Sishangai kuona Ivo kwani tuna mashamba yakutosha ila hayana rutuba mpaka tunapewa Mchele wa virutubisho ...
Sijui tunakwama wapi Tz?
 
Isijekuwa mshakuwa vijana wa hovyooo


CHumvi mbona imejaa mkuu hapa mjini yakutosha yan 3packt kwa 1000/=


Otherwise labda prop iwe mnaianzisha
Maeneo mengi ya nchi ilikuwa ni hivyo.pakti 3 buku.Hivi sasa hakuna
 
Nilichigundua
Ni kama kuna kamchezo hivi kanaandaliwa. Kuna watu wanaleta post kupima upepo halafu baada ya muda hali inatokea kweli.
Hii imeshatokea kwenye sukari na mafuta. Sasa upepo unapinwa kwenye chumvi.
Soon chumvi itaadimika na kupanda bei.
 
Alianza na mafuta ya kula
Ikaja umeme
Sukari
Wakaona wapandishe nauli za mabasi
Wakasema wasafiri wa mwendokasi wanafaidi Sana.
Kumbe na umeme.
Kama na chumvi wameona tunafaidi
Sasa kaeni mkao wa kukosa gesi ya kupikia.
 
Back
Top Bottom