Haijapata kutokea,hata ilipokuwa kipindi cha uongozi wa Hayati Baba wa Taifa,hatukuwa kupitia hali hii Chumvi kukosekana.Ajabu sana awamu hii, Chumvi imekuwa bidhaa adimu madukani.
Ilianza Dola, Umeme, ikaja Sukari, Sasa ni zamu ya Chumvi. Madini tunayochimba hapahapa nchini. Kuanzia Kigoma, Dodoma Dar hadi Mtwara huko kote kunachimbwa Chumvi. Sasa iweje iadimike nchini! Kuna shida gani?
Ilianza Dola, Umeme, ikaja Sukari, Sasa ni zamu ya Chumvi. Madini tunayochimba hapahapa nchini. Kuanzia Kigoma, Dodoma Dar hadi Mtwara huko kote kunachimbwa Chumvi. Sasa iweje iadimike nchini! Kuna shida gani?