andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,031
- 120,513
Ahsante kwa kuwa kisababishi cha furaha kwa wengine.Kuna haja ya kukuombea kwa Mungu afya njema na maisha marefuTehteh..
Akili yangu naiweza basi . Ila tunachofanya nikuyafanya maisha yetu yazungukwe na furaha mkuu.
