Chumbani kwa dereva wa bajaji

Chumbani kwa dereva wa bajaji

Tehteh..
Akili yangu naiweza basi . Ila tunachofanya nikuyafanya maisha yetu yazungukwe na furaha mkuu.
Ahsante kwa kuwa kisababishi cha furaha kwa wengine.Kuna haja ya kukuombea kwa Mungu afya njema na maisha marefu
 
Dah!!

Mkuu Saint Ivuga kusema kuwa navutiwa/nafurahishwa na Daby kuhusu uchangiaji wake sina maana mbaya kama ulivyofikiria wewe mkuu...tehteh acha hizo mambo kuwaza wewe mkuu.
Hahaha mtu wangu wala usijali.
Mimi natania tu hapa bwana.

Uwe na amani kabisaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom