Chumbani kwa dereva wa bajaji

Chumbani kwa dereva wa bajaji

una comments ambazo ukizisoma ukiwa kwenye team ya wafanyakazi wenzio unaweza kuharibu image yako.Maana kicheko kitakacho toka kila mtu atashituka.Kwa mfano hilo jibu la "pedi" limekujaje hapo mkuu?
Tehteh..
Akili yangu naiweza basi . Ila tunachofanya nikuyafanya maisha yetu yazungukwe na furaha mkuu.
 
Mida flan ya sa tano nilipanda public transport kutoka studio kwenda kinondoni B.
Gari ilikuwa na watu wachache kama wawili.
Mbele yangu alikaa dada mmjoa kavaa kiheshima sana na ni mzuri. (Model)
Akawa anahangaika sana anabana miguu anajilamba lamba lips.

Nilikaa mbele yake ikabidi nirudi siti ya nyuma niangalie kuwa anasoma nini hadi akahangaika hivyo hadi anajisahau?

Nikafanikiwa kuona anasoma riwaya ipo kwenye gazeti moja la udaku inaitwa " chumbani kwa dereva wa Bajaji"

Hii ni hatari.. Wanasaikologia mnaweza kutusaidi kuwa dada alinogewa tu na maandishi au?
Kumbe wadada nao maandishi yanawapagawisha kama wanaume.
Basi mimi nikashuka zangu B nikazama ben pub kuendelea na shughuli zangu.
Kila la heri dada. View attachment 502168

Huyu mdada ndiyo Mzuri Model?......duh
 
Kidogo bwana mamdogo na mimi nataka kurusha rusha miguu kama model wa daladala
Yaani wewe Daby huwaga nakufikiriaga kuwa jinsi ulivyo nje na hii Jf.

Yaani unaonekana mtu mcheshi sana na unapenda matani hivi

Yaani hata watu unaoshigi nao huko kitaani kwenu huwaga wanafurahia sana uwepo wako

Maana siishagi hamu kukufatiria na vikolezo vyako.

Ni mawazo yangu tu mkuu
 
Yaani wewe Daby huwaga nakufikiriaga kuwa jinsi ulivyo nje na hii Jf.

Yaani unaonekana mtu mcheshi sana na unapenda matani hivi

Yaani hata watu unaoshigi nao huko kitaani kwenu huwaga wanafurahia sana uwepo wako

Maana siishagi hamu kukufatiria na vikolezo vyako.

Ni mawazo yangu tu mkuu
Teh
Elly kwanza wewe wa jina sema sijajua unaitwa eli nini...
Salute mkuu... ndivyo nilivyo
 
Yaani wewe Daby huwaga nakufikiriaga kuwa jinsi ulivyo nje na hii Jf.

Yaani unaonekana mtu mcheshi sana na unapenda matani hivi

Yaani hata watu unaoshigi nao huko kitaani kwenu huwaga wanafurahia sana uwepo wako

Maana siishagi hamu kukufatiria na vikolezo vyako.

Ni mawazo yangu tu mkuu
Daby unawavutia hadi wanaume.astaghafulilah
 
Sasa hzo si zilikuwa zile kubwa kubwa za eric mwenyewe ila rais anampenda mke wangu was the best to me aisee acha kabisa

Humo nakumbuka moja ya characters alikuwa anaitwa Emmanuel kama sijakosea.
 
Mida flan ya sa tano nilipanda public transport kutoka studio kwenda kinondoni B.
Gari ilikuwa na watu wachache kama wawili.
Mbele yangu alikaa dada mmjoa kavaa kiheshima sana na ni mzuri. (Model)
Akawa anahangaika sana anabana miguu anajilamba lamba lips.

Nilikaa mbele yake ikabidi nirudi siti ya nyuma niangalie kuwa anasoma nini hadi akahangaika hivyo hadi anajisahau?

Nikafanikiwa kuona anasoma riwaya ipo kwenye gazeti moja la udaku inaitwa " chumbani kwa dereva wa Bajaji"

Hii ni hatari.. Wanasaikologia mnaweza kutusaidi kuwa dada alinogewa tu na maandishi au?
Kumbe wadada nao maandishi yanawapagawisha kama wanaume.
Basi mimi nikashuka zangu B nikazama ben pub kuendelea na shughuli zangu.
Kila la heri dada. View attachment 502168

Nipe namba yake,..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom