Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Huyu yuko na lile limama sukari casie mi hapa nachombeza tukazi unayo ww mwenye baby wako subilia ushikwe shikwe![]()
Huyu yuko na lile limama sukari casie mi hapa nachombeza tukazi unayo ww mwenye baby wako subilia ushikwe shikwe![]()
Hahahaha!!Daby bhanaHapana ni pedi.
bamdogo hayo mambo ya kusimuliana siyawezi mmMamdogo siku nitajipanga unisimulie maana kusoma siwezi
Tehteh..![]()
una comments ambazo ukizisoma ukiwa kwenye team ya wafanyakazi wenzio unaweza kuharibu image yako.Maana kicheko kitakacho toka kila mtu atashituka.Kwa mfano hilo jibu la "pedi" limekujaje hapo mkuu?
Huyu yuko na lile limama sukari casie mi hapa nachombeza tu



la moyoni hilo kwahyo Daby sasa hivi analelewaMida flan ya sa tano nilipanda public transport kutoka studio kwenda kinondoni B.
Gari ilikuwa na watu wachache kama wawili.
Mbele yangu alikaa dada mmjoa kavaa kiheshima sana na ni mzuri. (Model)
Akawa anahangaika sana anabana miguu anajilamba lamba lips.
Nilikaa mbele yake ikabidi nirudi siti ya nyuma niangalie kuwa anasoma nini hadi akahangaika hivyo hadi anajisahau?
Nikafanikiwa kuona anasoma riwaya ipo kwenye gazeti moja la udaku inaitwa " chumbani kwa dereva wa Bajaji"
Hii ni hatari.. Wanasaikologia mnaweza kutusaidi kuwa dada alinogewa tu na maandishi au?
Kumbe wadada nao maandishi yanawapagawisha kama wanaume.
Basi mimi nikashuka zangu B nikazama ben pub kuendelea na shughuli zangu.
Kila la heri dada. View attachment 502168
Picha gani unataka mkuuMkuu hapa umemaliza maana nilitaka kudai picha
ana ubaya gani dada wa watu au sbbu kajistiri na mavazi ya heshimaHuyu mdada ndiyo Mzuri Model?......duh
Yaani wewe Daby huwaga nakufikiriaga kuwa jinsi ulivyo nje na hii Jf.Kidogo bwana mamdogo na mimi nataka kurusha rusha miguu kama model wa daladala
Ni mbaya?Huyu mdada ndiyo Mzuri Model?......duh
TehYaani wewe Daby huwaga nakufikiriaga kuwa jinsi ulivyo nje na hii Jf.
Yaani unaonekana mtu mcheshi sana na unapenda matani hivi
Yaani hata watu unaoshigi nao huko kitaani kwenu huwaga wanafurahia sana uwepo wako
Maana siishagi hamu kukufatiria na vikolezo vyako.
Ni mawazo yangu tu mkuu
Daby unawavutia hadi wanaume.astaghafulilahYaani wewe Daby huwaga nakufikiriaga kuwa jinsi ulivyo nje na hii Jf.
Yaani unaonekana mtu mcheshi sana na unapenda matani hivi
Yaani hata watu unaoshigi nao huko kitaani kwenu huwaga wanafurahia sana uwepo wako
Maana siishagi hamu kukufatiria na vikolezo vyako.
Ni mawazo yangu tu mkuu
bamdogo we utakua ellybarikiTeh
Elly kwanza wewe wa jina sema sijajua unaitwa eli nini...
Salute mkuu... ndivyo nilivyo
Sasa hzo si zilikuwa zile kubwa kubwa za eric mwenyewe ila rais anampenda mke wangu was the best to me aisee acha kabisa
Mida flan ya sa tano nilipanda public transport kutoka studio kwenda kinondoni B.
Gari ilikuwa na watu wachache kama wawili.
Mbele yangu alikaa dada mmjoa kavaa kiheshima sana na ni mzuri. (Model)
Akawa anahangaika sana anabana miguu anajilamba lamba lips.
Nilikaa mbele yake ikabidi nirudi siti ya nyuma niangalie kuwa anasoma nini hadi akahangaika hivyo hadi anajisahau?
Nikafanikiwa kuona anasoma riwaya ipo kwenye gazeti moja la udaku inaitwa " chumbani kwa dereva wa Bajaji"
Hii ni hatari.. Wanasaikologia mnaweza kutusaidi kuwa dada alinogewa tu na maandishi au?
Kumbe wadada nao maandishi yanawapagawisha kama wanaume.
Basi mimi nikashuka zangu B nikazama ben pub kuendelea na shughuli zangu.
Kila la heri dada. View attachment 502168
Shiiiii....nyamaza tukumbushie enziespy embu muite madam kasie
Kumbe Pm kuna flirt za hatari eee. Embu shuniw ni pm nionw na mimi stakuomba nambamnajua mpo pm niniii