Chumbani kwa dereva wa bajaji

Chumbani kwa dereva wa bajaji

Yaani wewe Daby huwaga nakufikiriaga kuwa jinsi ulivyo nje na hii Jf.

Yaani unaonekana mtu mcheshi sana na unapenda matani hivi

Yaani hata watu unaoshigi nao huko kitaani kwenu huwaga wanafurahia sana uwepo wako

Maana siishagi hamu kukufatiria na vikolezo vyako.

Ni mawazo yangu tu mkuu
Funguka tu!!
 
Ebu nitafute hiyo riwaya!!!

Wakati nipo O-level kuna novel moja nadhani ilikua inaitwa "Undercover secrets".... Yaani kile kilikua porn kwenye maandishi . Tulikigawanya kitabu kwenye pande nne na kupokezana kusoma!!! Tulikua tukikaa darasani kusoma kila mtu anajibanabana miguu... Safari za chooni haziishi... Maandishi matamu kuliko movie aisee!!!
Daah afu wewe paprika niaje
 
Saint Ivuga unatakiwa kuwa mwandishi wa habari,maana umefatilia tukio na picha umeweka.
Nb:sasa kwa bahati mbaya unakuta nae ni memba wa jf,patamu hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom