Chumbani kwa dereva wa bajaji

Chumbani kwa dereva wa bajaji

Unashangaa nini na wewe.
Nakushangaa babu yangu maneno yko hapo nyuma sujui enzi hizo ulikuwa ukisoma vidubwasha ganiii....... Kila chapter moja ulikuwa unataka kufanyia practice nikipiga mahesabu mpk umalize chapter zote kutakuwa na mtu kweliiii???
 
Nakushangaa babu yangu maneno yko hapo nyuma sujui enzi hizo ulikuwa ukisoma vidubwasha ganiii....... Kila chapter moja ulikuwa unataka kufanyia practice nikipiga mahesabu mpk umalize chapter zote kutakuwa na mtu kweliiii???
Naomba hizo imagination ziishie ubongoni tuu
 
Da guy who prefer snipping girl's snacks.
una comments ambazo ukizisoma ukiwa kwenye team ya wafanyakazi wenzio unaweza kuharibu image yako.Maana kicheko kitakacho toka kila mtu atashituka.Kwa mfano hilo jibu la "pedi" limekujaje hapo mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom