Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
- Thread starter
- #181
Nilifanya naongea na siri kumbe namsnap.. unadhani nilijiachia tuu?Hivi huyo dada angekudaka unampiga picha?
Nilifanya naongea na siri kumbe namsnap.. unadhani nilijiachia tuu?Hivi huyo dada angekudaka unampiga picha?
Hahah insabidi max wanilipeSaint Ivuga unatakiwa kuwa mwandishi wa habari,maana umefatilia tukio na picha umeweka.
Nb:sasa kwa bahati mbaya unakuta nae ni memba wa jf,patamu hapo.
Kweli yaani alafu msimulizi atakuwa anasimulia uhalisia kabisa lazima uhangaikeitakua ni mapenzi tu huko chumbani kwa dereva wa bajaji haiwezekani huyo asitulie hivyo
Ukizisoma zinakunyegeza?Kweli yaani alafu msimulizi atakuwa anasimulia uhalisia kabisa lazima uhangaike
........
Muoga saana kusoma chombezo mbele za watu
Teh
Elly kwanza wewe wa jina sema sijajua unaitwa eli nini...
Salute mkuu... ndivyo nilivyo