Veteran Sailor
JF-Expert Member
- May 28, 2025
- 1,670
- 3,269
Jitahidi usiwe unalala stoo...
Mmwagie maji ya upako alegee.Ni 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa
Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo
Ukimuua panya watazaliana sana.Hivi kuna Siri gani kumuacha aende au kumua? Nisaidie kujua
Mmwagie mafuta ya taa au dieselNi 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa
Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo
Sahihi .viumbe wanaotakiwa kudhibitiwa ni panya huweza leta nyoka ndani,wadudu mbali mbali ndani ya nyumba huvutia mijusi ndani ya nyumba ukiwamaliza mijusi huwezi onaAnatafuta madini adimu yaitwayo panya
Kuna madhara gan atayapata ukimwagia mafuta ya taa au diesel..? Tupeane madiniMmwagie mafuta ya taa au diesel
Ni 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa
Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo
Mkuu! Wewe ni wakike au kiume?Ni 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa
Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo
Nyumba unayokaa itakuwa na panya au mijusi wengi. Sehemu ya jikondipo panya wanapokuwa katika saa hizo ulizotaja, hivyo nyoka alikuwa mawindoni. Nyoka wanasikia harufu ya panya hata wakiwa kilomita nzima away. Jiongezeni kuanzia hapo mfanye fumigation na muwe wasafi.Ni 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa
Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo
Ni 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa
Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo
Usimsumbue, wewe lala na usingizi wako na yeye alale na usingizi wake ila kama unakisungura kifungue kimwage kwenye kisahani anywe alewe.Ni 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa
Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo