Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,075
4,111
Magufuli2.jpg


Magufuli.jpg
 
Na wewe kula mbn mitanzania mnawivu ya ajabu..

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hujaelewa point yangu. Nje wanajifanya wapo na wananchi. Wakati maisha yao private ni ya juu huku wapiga kura wao hata kula mlo mmoja ni taabu. Waalimu miaka 5 hata kuongenzwa mia ya mshahara hakuna.
Mimi maisha yangu binafsi ni mazuri mno.
Hapa nawaongelea million 50 wanaoishi chini ya dola moja kwa siku.
 
Back
Top Bottom