mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,075
- 4,111
Na wewe kula mbn mitanzania mnawivu ya ajabu..Showoff mnatuonyesha kwenye camera wanakula mahindi ya kuchoma. Offcamera wanakula pizza,kuku,biliani, na mazagazaga kibao bila kusahau kila mlo haukosi juice fresh na mboga za majani.
Unataka kutukana au?Hii nayo thread?? mnatafuta watu waongee mseme wanatukana
Hujaelewa point yangu. Nje wanajifanya wapo na wananchi. Wakati maisha yao private ni ya juu huku wapiga kura wao hata kula mlo mmoja ni taabu. Waalimu miaka 5 hata kuongenzwa mia ya mshahara hakuna.Na wewe kula mbn mitanzania mnawivu ya ajabu..
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sina 5MUnataka kutukana au?
unamawazo hasi dogo. Ishu ni kwamba hii nayo ni habari??Kama hutaki lia!! sie tunakula mahindi nyie mnasubiri maelekezo ya kichaa wenu mwende mabarabarani baada ya kushindwa vibaya uchaguzi, badala mchape kazi
Mwanaume wa wanaume wote Bongo. Namkubali Sana huyu dume kwa msimamo. Hayumbi Wala hayumbishwi awe beberu au mwanasiasa ushuzi anakaza mwanzo... Mwisho.
Hii nayo thread?? mnatafuta watu waongee mseme wanatukana
Hatuna 5M, Msitutafutie sababu, na mahakimu siku hizi wanasifa kama nini
Let me reserve my comment...kwetu tumefunzwa tukila tuketi chini kwakuwa chakula ni ibada
Daah mimi najua chuma hua kinatafuna Chuma kumbe huku Bongo Chuma kinakula mahindi?hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii