GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,131
Ndani ya Simba SC ya sasa kuna Makundi ya Wachezaji Watatu ambayo ndiyo yanaathiri mwenendo wa Timu Kiujumla
Kundi la Kwanza
Hili ni lile ambalo kwa Makusudi linaongozwa na Clatous Chama lililo nyuma ya Kiongozi Mmoja mkubwa lenye Lengo la Kumkwamisha Kocha Mkuu Roberto Oliveira.
Kundi la Pili
Hili ni lile Kundi ambalo linampigania Kocha Mkuu Roberto Oliveira linaloongozwa na Kibu Denis,ila linachukiwa na Wachezaji wenzao akina Chama na huyo Kiongozi Mmoja mkubwa tu.
Kundi la Tatu
Hili ni Kundi Vuguvugu ( kote kote lipo lenye Unafiki mwingi ) linaloongozwa na Saido Ntibanzokinza na lina Kiongozi Wao mwingine ambaye ndiyo Bingwa wa Kuwaroga Wachezaji wa Kigeni ambaye kaletewa sasa Mbabe wake Mwarabu apambane nae.
Haya Wazee wa Kukopi Taarifa za GENTAMYCINE hapa JamiiForums akina Ricardo Momo, Edo Kumwembe na Wengineo ( Watangazaji na Wachambuzi ) wa Michezo Tanzania hii mlikuwa hamna na Mimi ndiyo wa Kwanza nawaletea hapa JamiiForums hivyo mkiiga hii na kuitumia msisahau kunitaja Mfalme wa Taarifa GENTAMYCINE na huu Mtandao pemdwa wa JamiiForums sawa?
Na kuwaonyesheni kuwa Mfalme nimeingia Chimbo kutoka Jana hadi Mchana huu ni kwamba kaeni tayari kuanzia Saa 4 Kamili leo Usiku hapa hapa JamiiForums nitakuja na Exclusives nyingine Mbili za Kuihusu Simba SC hivyo wekeni Mabando ya kutosha na msikae mbali na JamiiForums na Mfalme wa Taarifa GENTAMYCINE Mimi sawa?
Kundi la Kwanza
Hili ni lile ambalo kwa Makusudi linaongozwa na Clatous Chama lililo nyuma ya Kiongozi Mmoja mkubwa lenye Lengo la Kumkwamisha Kocha Mkuu Roberto Oliveira.
Kundi la Pili
Hili ni lile Kundi ambalo linampigania Kocha Mkuu Roberto Oliveira linaloongozwa na Kibu Denis,ila linachukiwa na Wachezaji wenzao akina Chama na huyo Kiongozi Mmoja mkubwa tu.
Kundi la Tatu
Hili ni Kundi Vuguvugu ( kote kote lipo lenye Unafiki mwingi ) linaloongozwa na Saido Ntibanzokinza na lina Kiongozi Wao mwingine ambaye ndiyo Bingwa wa Kuwaroga Wachezaji wa Kigeni ambaye kaletewa sasa Mbabe wake Mwarabu apambane nae.
Haya Wazee wa Kukopi Taarifa za GENTAMYCINE hapa JamiiForums akina Ricardo Momo, Edo Kumwembe na Wengineo ( Watangazaji na Wachambuzi ) wa Michezo Tanzania hii mlikuwa hamna na Mimi ndiyo wa Kwanza nawaletea hapa JamiiForums hivyo mkiiga hii na kuitumia msisahau kunitaja Mfalme wa Taarifa GENTAMYCINE na huu Mtandao pemdwa wa JamiiForums sawa?
Na kuwaonyesheni kuwa Mfalme nimeingia Chimbo kutoka Jana hadi Mchana huu ni kwamba kaeni tayari kuanzia Saa 4 Kamili leo Usiku hapa hapa JamiiForums nitakuja na Exclusives nyingine Mbili za Kuihusu Simba SC hivyo wekeni Mabando ya kutosha na msikae mbali na JamiiForums na Mfalme wa Taarifa GENTAMYCINE Mimi sawa?