Chuki ni nini hasa

Chuki ni nini hasa

Hello guys 👋 name Shesrise🫰

Watu wengi tunasema chuki, lakini je, tunajua hasa ni nini?
Je, chuki inazaliwa ndani ya mtu au inajengwa kutokana na mazingira, maumivu, na uzoefu wa maisha?

Wengine wanasema chuki huanzia kwenye majeraha ya moyo, wengine wanaona ni wivu, hasira au kukosa msamaha.

Lakini swali linabaki: chuki inatoka wapi hasa?
Nini kinasababisha mtu msiefahamiana kwa undani au hata kukujua vizuri, hakujui na kisha anakujengea chuki?

Imewahi kukutokea mtu akakuchukia na hata ukagundua? Ulichukuliaje?
Chanzo cha chuki ni nini hasa?
Karibuni tujadili, kila mtu kwa mtazamo wake 🙏🔥
kunaa mtu anajiita Nakuchukia sana mada yake hii atuelekeze
 
Napenda kuamini kwamba tuna hisia moja tu kuu(upendo) ambapo hisia zingine zote hutokea.

Kila binadamu ana kiasi maalum cha upendo ambacho hujibadilisha kuwa hisia nyingine kutokana na mapito.

Chuki ni hisia ya uadui. Ukimpenda mtu akakusaliti ule upendo unageuka kuwa chuki. Ukikutana na wazo linalokinzana na unayoamini unalichukia.
 
Karibu rafiki I'm happy to see you ☺️
Hakuna anaetaka kubadili nature ya mtu 👍
Nimeona umeuliza,tunawezaje kuwabadili/kuwasaidia wenye chuki?

Mtu hawezi kua na chuki bila sababu,ukichukiwa jitafakari,angalia matendo yako,jibadili wewe coz huwezi kuwabadili wanadamu,

Chuki ni mojawapo ya feeling ya kiumbe kilicho hai,chuki ipo mpaka kwa wanyama,it's a nature,you can't change it but you can decide to ignore it.
 
Napenda kuamini kwamba tuna hisia moja tu kuu(upendo) ambapo hisia zingine zote hutokea.

Kila binadamu ana kiasi maalum cha upendo ambacho hujibadilisha kuwa hisia nyingine kutokana na mapito.

Chuki ni hisia ya uadui. Ukimpenda mtu akakusaliti ule upendo unageuka kuwa chuki. Ukikutana na wazo linalokinzana na unayoamini unalichukia.
Umeongea vizuri bravo
Ni sawa na ule msemo penye chuki palitangulia upendo

Shida ipo hawa ambao hata ukimuuliza sababu gani umchukie mwenzio hana hata sababu moja
 
Nimeona umeuliza,tunawezaje kuwabadili/kuwasaidia wenye chuki?

Mtu hawezi kua na chuki bila sababu,ukichukiwa jitafakari,angalia matendo yako,jibadili wewe coz huwezi kuwabadili wanadamu,

Chuki ni mojawapo ya feeling ya kiumbe kilicho hai,chuki ipo mpaka kwa wanyama,it's a nature,you can't change it but you can decide to ignore it.
Asante sana 🙏🙏
 
Umeongea vizuri bravo
Ni sawa na ule msemo penye chuki palitangulia upendo

Shida ipo hawa ambao hata ukimuuliza sababu gani umchukie mwenzio hana hata sababu moja
Yawezekana anahofia kusema kwanini au hajui kweli kwasababu anakuchukia kupitia ufahamu wake mdogo ambao hawezi kuudhibiti.

Wanasema hii inaweza kuwa kwasababu ya mtu kutokujiamini na pia kuwa na kiwewe.

Sema hii nahisi ni kwa nyie wananwake zaidi.
 
hawa wanaochukia wenzao siyo kwamba hawana sababu hapana

wanaochukia wenzao halafu wanasema hakuna sababu yeyote hao maana yake sababu iliyosababisha ni ya kijinga ama ya aibu n.k
Na mala nyingi hua wakali sana😂
 
Yawezekana anahofia kutaja sababu au hazijui kweli kwasababu anakuchukia kupitia ufahamu wake mdogo ambao hawezi kuudhibiti.

Wanasema hii inaweza kuwa kwasababu ya mtu kujokujiamini na pia kuwa na kiwewe.

Sema hii nahisi ni kwa nyie wananwake zaidi.
Kwa wanawake zaidi? Maybe ni kweli
Hili la kutojiamini nalo linaleta kiwewe
Gafla mtu anakua mkali hata kwa vitu vidogo
Asante kaka maoni yako mazuri sana🙏
 
Energy uko nayo ndani yako nguvu uliyobeba ndani yako.
Mfano ukiokoka kweli ukawa na nguvu ya Mungu ndani yako ile nuru uko nayo ile positive energy na hatima yako/nyota.
The moment uki step into ukikayaga tu mguu wako eneo na watu wako na negative energy giza.
kunatokea repell ,automaticaly watu watakuchukia kwa sababu you are presence there make them uncomfortable juu ya ile energy iko ndani yako/nyota yako ni threat kwao..ule mngao nguvu yako..umekuwa threat kwao.

people hate what they fear.

Watu wa Mungu walokole unapo okoka tu na kujazwa nguvu ya Mungu kweli kweli ,unaanza kuchukiwa tena na watu wako wa karibu ndio wanakuwa wa kwanza ,ni kama kuokoka kwako ume declare war.
 
kunaa mtu anajiita Nakuchukia sana mada yake hii atuelekeze
Chuki ni hali ya kukosa aman moyon unapo muona mtu au kitu fulan.Tabia hii hujengeka baada ya kutokewa na kitu kibaya kama: kusalitiwa,kutengwa,kudhalishwa,kuonewa mm kivyangu niliwahikusalitiwa na mwanamke niliyempenda na licha ya hilo akanidhalisha kwa kunitukana.kwa kweli namchukia san japo nlwah kumpend pia nyumban nachukiwa sana kisa na maan ndug zang wengin wamenzd kiuwezo.maisha yangu yamejaa chuki ata ndugu zangu tunachukiana san kuchukiwa kwangu nishazoea ndoh maana napenda kujiita nakuchukia san.hii jina niyakunitia nguvu njpambanie
 
Chuki ni hali ya kukosa aman moyon unapo muona mtu au kitu fulan.Tabia hii hujengeka baada ya kutokewa na kitu kibaya kama: kusalitiwa,kutengwa,kudhalishwa,kuonewa mm kivyangu niliwahikusalitiwa na mwanamke niliyempenda na licha ya hilo akanidhalisha kwa kunitukana.kwa kweli namchukia san japo nlwah kumpend pia nyumban nachukiwa sana kisa na maan ndug zang wengin wamenzd kiuwezo.maisha yangu yamejaa chuki ata ndugu zangu tunachukiana san kuchukiwa kwangu nishazoea ndoh maana napenda kujiita nakuchukia san.hii jina niyakunitia nguvu njpambanie
ila kunaa kitu ndani yako, nitakutafutia mshauri wa jisaikilojia akiweke sawa ili usiishi maisha ya kuchukia na kuona ni kawaida
 
Energy uko nayo ndani yako nguvu uliyobeba ndani yako.
Mfano ukiokoka kweli ukawa na nguvu ya Mungu ndani yako ile nuru uko nayo ile positive energy na hatima yako/nyota.
The moment uki step into ukikayaga tu mguu wako eneo na watu wako na negative energy giza.
kunatokea repell ,automaticaly watu watakuchukia kwa sababu you are presence there make them uncomfortable juu ya ile energy iko ndani yako/nyota yako ni threat kwao..ule mngao nguvu yako..umekuwa threat kwao.

people hate what they fear.

Watu wa Mungu walokole unapo okoka tu na kujazwa nguvu ya Mungu kweli kweli ,unaanza kuchukiwa tena na watu wako wa karibu ndio wanakuwa wa kwanza ,ni kama kuokoka kwako ume declare war.
Naomba kesho tuendelee mkuu🙏
 
Energy uko nayo ndani yako nguvu uliyobeba ndani yako.
Mfano ukiokoka kweli ukawa na nguvu ya Mungu ndani yako ile nuru uko nayo ile positive energy na hatima yako/nyota.
The moment uki step into ukikayaga tu mguu wako eneo na watu wako na negative energy giza.
kunatokea repell ,automaticaly watu watakuchukia kwa sababu you are presence there make them uncomfortable juu ya ile energy iko ndani yako/nyota yako ni threat kwao..ule mngao nguvu yako..umekuwa threat kwao.

people hate what they fear.

Watu wa Mungu walokole unapo okoka tu na kujazwa nguvu ya Mungu kweli kweli ,unaanza kuchukiwa tena na watu wako wa karibu ndio wanakuwa wa kwanza ,ni kama kuokoka kwako ume declare war.
Umesema watu wanaweza kukuchukia kwa sababu ya nyota yako, ila nataka kufahamu vizuri zaidi nyota ni nini hasa? Ni kitu gani kwa uhalisia wake?

Also, watu wenye positive energy unawatambua vipi? Like, what really defines someone as having positive energy?

Na pia umetolea mfano wa walokole je, kuwa na nguvu kubwa kiroho mpaka ikapelekea watu kukuchukia, hiyo nguvu lazima iwe connected na kuwa mlokole? Au mtu anaweza kuwa na hiyo spiritual power bila kuwa hivyo?

Ningependa kuelewa hii kwa undani zaidi Mkuu karibu
#Happy Sunday
 
Umesema watu wanaweza kukuchukia kwa sababu ya nyota yako, ila nataka kufahamu vizuri zaidi nyota ni nini hasa? Ni kitu gani kwa uhalisia wake?

Also, watu wenye positive energy unawatambua vipi? Like, what really defines someone as having positive energy?

Na pia umetolea mfano wa walokole je, kuwa na nguvu kubwa kiroho mpaka ikapelekea watu kukuchukia, hiyo nguvu lazima iwe connected na kuwa mlokole? Au mtu anaweza kuwa na hiyo spiritual power bila kuwa hivyo?

Ningependa kuelewa hii kwa undani zaidi Mkuu karibu
#Happy Sunday
NYOTA
Nyota ni hatma ya maisha yako duniani ambayo hii Roho ambayo unapewa kabla hujazaliwa duniani na unaishi nayo hapa duniani.

Mfano nyota ya Yesu ilionekana kabla hata hajazaliwa mchawi anaitwa BALAMU aliwaona wanaisraeli lakini akaona katika hao waisrael kuna mkombozi wa ulimwengu atakuja kuzaliwa,lakini hata manabii walitabiri atazaliwa.

Hata mtoto akiwa kiunononi mwa baba yake kabla hajazaliwa au akiwa tumboni mwa mama yake kabla hajazaliwa ,nyota yake inaonekana.
Ibrahimu uzao wake ulionekana kabla.

Anapozaliwa nyota yake pia inaonekana ,mfano nabii Musa na Yesu Kristo walipozaliwa nyota zao zikionekana ziki angaza nuru sana na tayari ika amuriwa amri za wafalme watoto wote wakiume wauwawe...mana walikuwa na nyota za kifalme na nguvu zaidi.

nyota ina pande tano
kama ishara ya vidole vya mikono
dole gumba-kumililiki mali
shahada pointing finger-Mamlaka uongozi
Ring finger-Ndoa na uzao
midle finger-Heshima na kibali
kidole kidogo-nimesaha kidogo ? sijui ni afya ama bahati(nitarejea )

ila ni the way mambo yako yanavyokunyokea kwa urahisi na kufanikiwa mafaniki yako kibali kukubalika ,heshima mali,utawala.

nyota ni kama natural GIFT from God inherent,

mfano unakuta kama kiongozi ukiongea unasikilizwa na watu wanakufuata una ile KIPAJI ama karama na unajikuta pia unamsukumo wa ndani na mamlaka ya kufanya na ukifanya mwitikio na watu wanatii bila kuhoji na wanakufuata.

Nyota ya biashara na mali--unaokuta kila biashara akifanya anatoboa kiurahisi
Pia nyota ya MVUTO watu wanavutiwa na wewe kama ni biashara wateja wanajazana kukufuata mvuto wako kama sumaku

mifano ni mingi..nitaweka na videos hapa chini


NGUVU YA ROHO
Hii energy unaipata kutoka kwa Mungu,ndiyo hiyo wale waliomuamini YESU kristo anawapa nguvu ya ROHO mtakatifu..hii energy wako nayo inawafanya wale wenye nguvu za giza kuwachukia kwa sababu wanaona mambo ya rohoni,pia maombi yao na nguvu zao na hata uwepo wao unaharibu nguvu zao za giza na wakijaribu kuwaloga wanashindwa wanaungua moto..kwa hiyo wanawachukia sana ROHONI japo kimwili wanaweza wakawa wanajifanya marafiki ila katika ulimwengu wa Roho ni vita inapigwa kato ya nguvu za giza ma nguvu za nuru,na siku zote nuru hufukuza giza.

Unaweza ukapendwa au ukachukiwa kwa sababu ya nyota yako.
mifano itajielezea na video nitakayoweka hap chinihttps://youtu.be/wNS5PcU9PHE?si=EJoSgspVYz_EsS5S



View: https://youtu.be/1B0OU_NOHdM?si=l7CKKDjMhXLxS4Px
 
Back
Top Bottom