Chuki ni nini hasa

Chuki ni nini hasa

Kusema chuki bila sababu yoyote inawezekana je?
Ndiyo inavyosemwa ila ukweli ni kuwa kuna kitu alikihisi au aliliona kutoka kwako au kuna jambo ulifanya na tokea siku hiyo amekuchukia jumla

Ila sasa hajui why amekuchukia kwa sababu amesahau kile kilichopelekea kukuchukia
 
Asante sana kaka ni heshima kwangu kuitikia wito šŸ™
Sasa nina maswali kadhaa?
Je chuki ni ugonjwa ?
Ni ugonjwa wa akili?

Chuki sio ugonjwa
Bali ni reactions ya kihisia ambayo Akiko ikishindwa kuidhibiti hutokea nje na kuleta madhara. Inayotokana sababu nilizotaja hapo juu. Ambayo
Mtu alieambukizwa chuki kwa kukataliwa na kutengwa huyu anapona vipi asiwe sumu kwa wengine?
Kila mtu anachuki lakini kiwango cha chuki kinatofautiana kutokana na mtu anavyoweza kudhibiti visababishi vya chuki.

Mfano Wivu,
Njia pekee ya kudhibiti chuki itokanayo na Wivu ni kutokuwa na wivu. Na kama inakuwa ngumu ni kuwa ma wivu wenye tija.

Mtu mwenye chuki unaotokana na wivu wa kuona labda amezidiwa vitu fulani
Kwa kujiona anastahili huyu nae anaponaje?

Mtu mwenye chuki kwa mtu hata asiemjua vizuri ajabu hiišŸ™Œ huyu nae si ni mgonjwa mahututi tuna msaidiaje?

Wivu mara nyingi msingi wake mkuu ni tamaa + kujilinganisha + kujiona unastahili.

Mtu mwenye wivu anatakiwa aache kujilinganisha, tamaa NAA kuona anastahili kuwa na Kila kitu walichonacho wengine
 
Ndiyo inavyosemwa ila ukweli ni kuwa kuna kitu alikihisi au aliliona kutoka kwako au kuna jambo ulifanya na tokea siku hiyo amekuchukia jumla

Ila sasa hajui why amekuchukia kwa sababu amesahau kile kilichopelekea kukuchukia
Sawa sawa ila tuelewe kwamba mtu hua anajua kabisa kua ana chuki na fulani na akakiri kua hajui kwanini anamchukia huwenda ni amesahau kama ulivyosema šŸ˜‚
Je hiyo tabia yake mbaya hawezi kuikomesha ili awe na amani maana mimi naamini chuki humtesa zaidi mwenye kumchukia wenzie kuliko mchukiwa
 
Wakati tunaogelea kwenye mto weruweru pale Kilimanjaro tukiwa uchi wa mnyama nilishangaa ghafla kuchukiwa na wenzangu karibia wote na sikujua tatizo ni nini.

Baada ya kufanya utafiti wa kina nikaja kugundua kuwa kumbe Mimi nina dushelele refu, nene, na refu huku wao wakiwa vibamia na vipilipili mbuzi.

Ili kuwakera zaidi nikaanza kuimba ule wimbo wa Dully Sykes,
eti, "...Upana, biggie
Urefu, biggie
Unene, biggie
Uzito, biggie...".
 
Chuki sio ugonjwa
Bali ni reactions ya kihisia ambayo Akiko ikishindwa kuidhibiti hutokea nje na kuleta madhara. Inayotokana sababu nilizotaja hapo juu. Ambayo

Kila mtu anachuki lakini kiwango cha chuki kinatofautiana kutokana na mtu anavyoweza kudhibiti visababishi vya chuki.

Mfano Wivu,
Njia pekee ya kudhibiti chuki itokanayo na Wivu ni kutokuwa na wivu. Na kama inakuwa ngumu ni kuwa ma wivu wenye tija.



Wivu mara nyingi msingi wake mkuu ni tamaa + kujilinganisha + kujiona unastahili.

Mtu mwenye wivu anatakiwa aache kujilinganisha, tamaa NAA kuona anastahili kuwa na Kila kitu walichonacho wengine
Asante sana kwa maoni yako
Nb:Wivu mala nyingi msingi wake ni kujilinganisha,tamaa kujiona unastahili
šŸ™šŸ™
 
Sawa sawa ila tuelewe kwamba mtu hua anajua kabisa kua ana chuki na fulani na akakiri kua hajui kwanini anamchukia huwenda ni amesahau kama ulivyosema šŸ˜‚
Je hiyo tabia yake mbaya hawezi kuikomesha ili awe na amani maana mimi naamini chuki humtesa zaidi mwenye kumchukia wenzie kuliko mchukiwa
Chuki humtesa mchukiaji kama akiamua kuhifadhi tu moyoni ila akiamua kuifanyia kazi (kuitoa moyoni) ni uwezekano wa anayechukiwa na yeye kuathirika

kwa mfano mume anaweza kumchukia anayetoka na mke wake ila asiitoe nje ile chuki yake ila kama akiamua kuitoa nje madhara yanaweza kuathiri hata pande zote za mchukiaji na mchukiwaji
 
Chuki humtesa mchukiaji kama akiamua kuhifadhi tu moyoni ila akiamua kuifanyia kazi (kuitoa moyoni) ni uwezekano wa anayechukiwa na yeye kuathirika

kwa mfano mume anaweza kumchukia anayetoka na mke wake ila asiitoe nje ile chuki yake ila kama akiamua kuitoa nje madhara yanaweza kuathiri hata pande zote za mchukiaji na mchukiwaji
Kweli kabisa chuki ikitolewa njee inaleta maangamizi 😢
Swali ni vipi mwenye chuki atapona hilo gonjwa hatari?
Kuna watu wenye chuki hata humu huenda wakapona
 
Asante sana kwa maoni yako
Nb:Wivu mala nyingi msingi wake ni kujilinganisha,tamaa kujiona unastahili
šŸ™šŸ™

Yeah!
Mfano Mimi nikikuomba uwe mchumba wangu. Ukakataa kwa hiyari yako na sababu unazozijua wewe. Mimi nikijipa kustahili kuwa na wewe. Nitaanza kujiuliza kwa nini unikatalie wakati ninastahili kuwa na wewe. Ni haki Yangu kuwa na wewe. Nitaanza kukuchukia.
 
Back
Top Bottom