a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,457
- 2,658
NYOTA
Nyota ni hatma ya maisha yako duniani ambayo hii Roho ambayo unapewa kabla hujazaliwa duniani na unaishi nayo hapa duniani.
Mfano nyota ya Yesu ilionekana kabla hata hajazaliwa mchawi anaitwa BALAMU aliwaona wanaisraeli lakini akaona katika hao waisrael kuna mkombozi wa ulimwengu atakuja kuzaliwa,lakini hata manabii walitabiri atazaliwa.
Hata mtoto akiwa kiunononi mwa baba yake kabla hajazaliwa au akiwa tumboni mwa mama yake kabla hajazaliwa ,nyota yake inaonekana.
Ibrahimu uzao wake ulionekana kabla.
Anapozaliwa nyota yake pia inaonekana ,mfano nabii Musa na Yesu Kristo walipozaliwa nyota zao zikionekana ziki angaza nuru sana na tayari ika amuriwa amri za wafalme watoto wote wakiume wauwawe...mana walikuwa na nyota za kifalme na nguvu zaidi.
nyota ina pande tano
kama ishara ya vidole vya mikono
dole gumba-kumililiki mali
shahada pointing finger-Mamlaka uongozi
Ring finger-Ndoa na uzao
midle finger-Heshima na kibali
kidole kidogo-nimesaha kidogo ? sijui ni afya ama bahati(nitarejea )
ila ni the way mambo yako yanavyokunyokea kwa urahisi na kufanikiwa mafaniki yako kibali kukubalika ,heshima mali,utawala.
nyota ni kama natural GIFT from God inherent,
mfano unakuta kama kiongozi ukiongea unasikilizwa na watu wanakufuata una ile KIPAJI ama karama na unajikuta pia unamsukumo wa ndani na mamlaka ya kufanya na ukifanya mwitikio na watu wanatii bila kuhoji na wanakufuata.
Nyota ya biashara na mali--unaokuta kila biashara akifanya anatoboa kiurahisi
Pia nyota ya MVUTO watu wanavutiwa na wewe kama ni biashara wateja wanajazana kukufuata mvuto wako kama sumaku
mifano ni mingi..nitaweka na videos hapa chini
NGUVU YA ROHO
Hii energy unaipata kutoka kwa Mungu,ndiyo hiyo wale waliomuamini YESU kristo anawapa nguvu ya ROHO mtakatifu..hii energy wako nayo inawafanya wale wenye nguvu za giza kuwachukia kwa sababu wanaona mambo ya rohoni,pia maombi yao na nguvu zao na hata uwepo wao unaharibu nguvu zao za giza na wakijaribu kuwaloga wanashindwa wanaungua moto..kwa hiyo wanawachukia sana ROHONI japo kimwili wanaweza wakawa wanajifanya marafiki ila katika ulimwengu wa Roho ni vita inapigwa kato ya nguvu za giza ma nguvu za nuru,na siku zote nuru hufukuza giza.
Unaweza ukapendwa au ukachukiwa kwa sababu ya nyota yako.
mifano itajielezea na video nitakayoweka hap chinihttps://youtu.be/wNS5PcU9PHE?si=EJoSgspVYz_EsS5S
View: https://youtu.be/1B0OU_NOHdM?si=l7CKKDjMhXLxS4Px
wakati mwingine vita unayoipitia inatokana na kile ulichokibeba..mti wenye matunda ndio unapigwa mawe.
waliobeba hatma kubwa ndio wanapitia vita kubwa zaidi,shetani anapambana zaidi na mtu mwenye kitu ndani yake.
ndio maana unaona nabii MUSA alipitia vita kubwa kabla hajazaliwa (iliamuriwa amri ya mfalme watoto wote wa kiume wauwawe) hata baada ya kufa shetani alikuja kujaribu kuiba mwili wa Musa /maiti ya Musa malaika michael akaja kupambana naye.
Nyota yako inaonekana kabla hujazaliwa ukiwa tumboni inasoma ni kama user manual au road map plan blue print kuwa wewe ni nani na umebeba kusudi gani la kuja hapa duniani na utakuwa nani na utafanya jambo gani hapa duniani na utakuwa na madhara gani katika ulimwengu wa roho ..utaharibu nguvu za giza na kuwavuta watu wengi mbinguni.
utakuwa kiongozi
tajiri mafanikio n.k
nyota yako inaweza kuzimwa kubadilishwa ,pia hatma yako inaweza kuibwa sehemu inaweza kumegwa kwa njia mbali mbali na nguvu za giza ikiwemo kupitia kuzini
kuna watu wanapewa masharti ya kulala na watu mbali mbali hata wanne au sita kwa siku na kila anayelala naye anamwibia sehemu ya nafsi yake nyota yake.
unakuta kwa mwaka amejikusanyia sehemu ya nyota za watu wengi.
View: https://youtu.be/3hVImKP4SqI?si=Ot5g50MHnaM78_jD