Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 15,805
- 46,162
Uongo upi hapo boss kubwa?Aah, umeanza uwongo sasa!
Uongo upi hapo boss kubwa?Aah, umeanza uwongo sasa!
Saafi sanaNilihama mkoa na sasa Niko sawa mkuu.
Yes nimepata si haba kwenye moyo wangu mpka sasa hakuna mpangaji😆Ni ngumu sana. Kwani wewe ulishapata dawa ya kuzuia kupenda?
🙏Saafi sana
Matarajio yanapo tofautina na matokeo ndio chuki huzaliwaHello guys 👋 name Shesrise🫰
Watu wengi tunasema chuki, lakini je, tunajua hasa ni nini?
Je, chuki inazaliwa ndani ya mtu au inajengwa kutokana na mazingira, maumivu, na uzoefu wa maisha?
Wengine wanasema chuki huanzia kwenye majeraha ya moyo, wengine wanaona ni wivu, hasira au kukosa msamaha.
Lakini swali linabaki: chuki inatoka wapi hasa?
Nini kinasababisha mtu msiefahamiana kwa undani au hata kukujua vizuri, hakujui na kisha anakujengea chuki?
Imewahi kukutokea mtu akakuchukia na hata ukagundua? Ulichukuliaje?
Chanzo cha chuki ni nini hasa?
Karibuni tujadili, kila mtu kwa mtazamo wake 🙏🔥
Uongo upi hapo boss kubwa?
Yes nimepata si haba kwenye moyo wangu mpka sasa hakuna mpangaji😆
Nilijua matarajio yasipokua ulivyotarajia nilidhani utavunjika moyo tu bila kuongezea na chuki juuMatarajio yanapo tofautina na matokeo ndio chuki huzaliwa
Sipangishi hata hivyoSio kwamba unafukuza wapangaji?
Au wanakimbia nyumba? 😁
Sasa mtu kama huyu tukisema ni mgonjwa tunakosea ?Kuna jamaa niliwahi kuambiwa kuwa kila akiniona tu ananisema kuwa "huyu jamaa (Mimi) simpendi namchukia"
Mbaya zaidi simjui na yeye hanijui. Yaan ndan ya wiki tu tangu afike akawa ananichukia.
Akaulizwa kwa nini anasema anajiona, ana kiburi na dharau!
yaani vile upo kimya, sio muongeaji, hukai kwenye vijiwe vyao wanakuona unawadharau kumbe uko poa sana!
Binadamu bwana!?
Karibu rafiki I'm happy to see you ☺️Ukiona mtu anateseka au kuanza kufuatilia nani anamchukia au nani anamsema vibaya,ujue mtu huyo ndio mwenye tatizo,
Just live your life,huwezi kuibadili nature ya wanadamu.
Unataka kuuweka wapi?Bosi wewe apo, uwongo wako siwezi uweka hapa.
Yote yanaangukia kwenye matokeo kinyume na tarajio.Nilijua matarajio yasipokua ulivyotarajia nilidhani utavunjika moyo tu bila kuongezea na chuki juu
Vp kwa wale wanaochukia watu hata wasio wafahamu vizuri?
Kwahiyo hapa ni tusiweke matarajio kupita kiasi ok 👍Yote yanaangukia kwenye matokeo kinyume na tarajio.
Ngumu sana kumchukia yoyote usie tarajia chochote kwake
Asante hayanisumbui😎Ya wengine yasikusumbue...