Chuki ni nini hasa

Chuki ni nini hasa

Hello guys 👋 name Shesrise🫰

Watu wengi tunasema chuki, lakini je, tunajua hasa ni nini?
Je, chuki inazaliwa ndani ya mtu au inajengwa kutokana na mazingira, maumivu, na uzoefu wa maisha?

Wengine wanasema chuki huanzia kwenye majeraha ya moyo, wengine wanaona ni wivu, hasira au kukosa msamaha.

Lakini swali linabaki: chuki inatoka wapi hasa?
Nini kinasababisha mtu msiefahamiana kwa undani au hata kukujua vizuri, hakujui na kisha anakujengea chuki?

Imewahi kukutokea mtu akakuchukia na hata ukagundua? Ulichukuliaje?
Chanzo cha chuki ni nini hasa?
Karibuni tujadili, kila mtu kwa mtazamo wake 🙏🔥
Matarajio yanapo tofautina na matokeo ndio chuki huzaliwa
 
Matarajio yanapo tofautina na matokeo ndio chuki huzaliwa
Nilijua matarajio yasipokua ulivyotarajia nilidhani utavunjika moyo tu bila kuongezea na chuki juu
Vp kwa wale wanaochukia watu hata wasio wafahamu vizuri?
 
Kuna jamaa niliwahi kuambiwa kuwa kila akiniona tu ananisema kuwa "huyu jamaa (Mimi) simpendi namchukia"

Mbaya zaidi simjui na yeye hanijui. Yaan ndan ya wiki tu tangu afike akawa ananichukia.

Akaulizwa kwa nini anasema anajiona, ana kiburi na dharau!
yaani vile upo kimya, sio muongeaji, hukai kwenye vijiwe vyao wanakuona unawadharau kumbe uko poa sana!

Binadamu bwana!?
 
Chuki huitwa resentment

Inasababishwa na unsolved conflicts .

Unaweza usimpende MTU with no reason ila ni nadra umchukie MTU with no reason

Mfano Kuna watu wananchukia Rais ila deep down Kuna unsolved conflicts
 
Kuna jamaa niliwahi kuambiwa kuwa kila akiniona tu ananisema kuwa "huyu jamaa (Mimi) simpendi namchukia"

Mbaya zaidi simjui na yeye hanijui. Yaan ndan ya wiki tu tangu afike akawa ananichukia.

Akaulizwa kwa nini anasema anajiona, ana kiburi na dharau!
yaani vile upo kimya, sio muongeaji, hukai kwenye vijiwe vyao wanakuona unawadharau kumbe uko poa sana!

Binadamu bwana!?
Sasa mtu kama huyu tukisema ni mgonjwa tunakosea ?
Kwanini anataka uwe kama anavyotaka yeye kwamba lazima uwe unacheka cheka hovyo ili uonekane ni humble
🙌
lakini mpka hapo unaona tayali ana sababu za kukuchukia ambazo ni za kipuuzi mno
 
Ukiona mtu anateseka au kuanza kufuatilia nani anamchukia au nani anamsema vibaya,ujue mtu huyo ndio mwenye tatizo,

Just live your life,huwezi kuibadili nature ya wanadamu.
 
Ukiona mtu anateseka au kuanza kufuatilia nani anamchukia au nani anamsema vibaya,ujue mtu huyo ndio mwenye tatizo,

Just live your life,huwezi kuibadili nature ya wanadamu.
Karibu rafiki I'm happy to see you ☺️
Hakuna anaetaka kubadili nature ya mtu 👍
 
Yote yanaangukia kwenye matokeo kinyume na tarajio.
Ngumu sana kumchukia yoyote usie tarajia chochote kwake
Kwahiyo hapa ni tusiweke matarajio kupita kiasi ok 👍
 
Back
Top Bottom