Chuki ni nini hasa

Chuki ni nini hasa

Kweli kabisa chuki ikitolewa njee inaleta maangamizi 😢
Swali ni vipi mwenye chuki atapona hilo gonjwa hatari?
Kuna watu wenye chuki hata humu huenda wakapona
Chuki kupona ni kuacha kuchukia unachokichukia kwa ninavyoona mimi huenda wanasaikolojia wa Jf Watatupa mbinu zaidi

Tuendelee kujifunza

Na vipi umegundua kuna mtu anakuchukia au ?
 
Chuki kupona ni kuacha kuchukia unachokichukia kwa ninavyoona mimi huenda wanasaikolojia wa Jf Watatupa mbinu zaidi

Tuendelee kujifunza

Na vipi umegundua kuna mtu anakuchukia au ?
Asante kwa maoni yakošŸ™
Sina hakika kama kuna anaenichukia ila Kama yupo basi aache mala moja aje awe rafiki yangu mzurišŸ˜
 
Yeah!
Mfano Mimi nikikuomba uwe mchumba wangu. Ukakataa kwa hiyari yako na sababu unazozijua wewe. Mimi nikijipa kustahili kuwa na wewe. Nitaanza kujiuliza kwa nini unikatalie wakati ninastahili kuwa na wewe. Ni haki Yangu kuwa na wewe. Nitaanza kukuchukia.
Hiyo nayo ina kaubinafsi ndani kuona wewe unastahili kila kitu na kutokubari
Sio kila kitu ni chako
 
Chuki ni suala la asili, ni hisia mseto ya asili, inakuja tuu kwa asili kama kulia, kucheka, kutabasamu, kupenda n.k
Chuki sio lazima iwe na sababu ya msingi. Chanzo chake kikubwa ni husda/wivu.
 
Wakati tunaogelea kwenye mto weruweru pale Kilimanjaro tukiwa uchi wa mnyama nilishangaa ghafla kuchukiwa na wenzangu karibia wote na sikujua tatizo ni nini.

Baada ya kufanya utafiti wa kina nikaja kugundua kuwa kumbe Mimi nina dushelele refu, nene, na refu huku wao wakiwa vibamia na vipilipili mbuzi.

Ili kuwakera zaidi nikaanza kuimba ule wimbo wa Dully Sykes,
eti, "...Upana, biggie
Urefu, biggie
Unene, biggie
Uzito, biggie...".
Wewe nae kukuchikia ni kazi sana šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ wenye vipilipili nao wana watu wao wasibezwe
 
Chuki ni suala la asili, ni hisia mseto ya asili, inakuja tuu kwa asili kama kulia, kucheka, kutabasamu, kupenda n.k
Chuki sio lazima iwe na sababu ya msingi. Chanzo chake kikubwa ni husda/wivu.
Sasa hakuna namna ya kudhibiti wivu usigeuke chuki?
 
Wewe nae kukuchikia ni kazi sana šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ wenye vipilipili nao wana watu wao wasibezwe
Siwabezi lakini nilishangaa kwa nini walinichukia kisa muhogo niliopewa na mungu?

Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake bhana!
 
Chuki yao haikupunguza chochote si ndio sasa hapa tunawatafutia dawa
Wapone hayo maradhi ya husda
Ilipunguza idadi ya mademu walionikubalia, kwa sababu wale jamaa walienda kunitangaza mtaani, kuwa namiliki mguu wa mtoto chini ya kitovu, eti ningeweza kuwaharibu watoto wa watu.
 
Husda/wivu unakuja kwa asili na hupelekea chuki kwa asili.
Ni hisia mseto ya kiasili, kuidhibiti kwake inategemea na kiwango cha hekma cha mtu na kiasi cha sababu inayomfanya apate wivu huo.
Yooo kumbe chuki ni kirusi kiasi dawa yake ni ngumu kupatikana 😢
 
Back
Top Bottom