The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,190
- 13,616
Yeereeeeeh!
Chris Lukosi Mfanyabiashara Mtanzania maarufu Uingereza ametoa ushauri mzuri kwa TRA na kusikitika jinsi wanavyokosa mapato mengi kupitia bandarini.
Anasema alitoka bandarini huko Uingereza akahesabu magari 250 kwenye meli yaliyokuwa yanaletwa bandari ya Dar na Mombasa.
Kati ya hayo magari 250 zaidi ya magari 180 pamoja na malori yalikuwa yanaenda Kenya, magari 10 Uganda na magari 22 Tanzania.
Cha kushangaza magari yote yanayoenda Kenya ni kuanzia mwaka wa 2014 kuja juu halafu makali kichizi lakini yaliyoagizwa na wabongo ni ya miaka 2004 huko ya kawaida.
Chris anasikitika sana si eti wabongo hawana nia na uwezo wa kutuma bali ushuru ni mkubwa mno.
Kwa mfano yeye alikuwa anauza ford ranger ya 2017 milion saba tu watu walishindwa kukununua kwasababu ushuru wake kuitoa Dar port milion 22 mara tatu.
Aliendelea kushauri iwapo TRA wangeshusha ushuru watu wengi wangeagiza magari mengi sana na TRA kupata ushuru, masheli yangepata mapato mengi, magereji yangenufaika, ma car wash n. K.
Ushauri wa jamaa mzuri sana na nimeukubali.
Ila nimecheka kwenye koments jamaa mmoja kamuuliza mbona haya hukuyasema mwendazake alipokuwa hai?
Wangari Maathai RRONDO
Chris Lukosi Mfanyabiashara Mtanzania maarufu Uingereza ametoa ushauri mzuri kwa TRA na kusikitika jinsi wanavyokosa mapato mengi kupitia bandarini.
Anasema alitoka bandarini huko Uingereza akahesabu magari 250 kwenye meli yaliyokuwa yanaletwa bandari ya Dar na Mombasa.
Kati ya hayo magari 250 zaidi ya magari 180 pamoja na malori yalikuwa yanaenda Kenya, magari 10 Uganda na magari 22 Tanzania.
Cha kushangaza magari yote yanayoenda Kenya ni kuanzia mwaka wa 2014 kuja juu halafu makali kichizi lakini yaliyoagizwa na wabongo ni ya miaka 2004 huko ya kawaida.
Chris anasikitika sana si eti wabongo hawana nia na uwezo wa kutuma bali ushuru ni mkubwa mno.
Kwa mfano yeye alikuwa anauza ford ranger ya 2017 milion saba tu watu walishindwa kukununua kwasababu ushuru wake kuitoa Dar port milion 22 mara tatu.
Aliendelea kushauri iwapo TRA wangeshusha ushuru watu wengi wangeagiza magari mengi sana na TRA kupata ushuru, masheli yangepata mapato mengi, magereji yangenufaika, ma car wash n. K.
Ushauri wa jamaa mzuri sana na nimeukubali.
Ila nimecheka kwenye koments jamaa mmoja kamuuliza mbona haya hukuyasema mwendazake alipokuwa hai?
Wangari Maathai RRONDO