IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Dah.. Niletee ile kule nyuma ya kijivuDah sikujua hili ndo maana nlikuwa na sitasita. Basi sasa nitayaleta kama haya zaidi ya 30.View attachment 1755332
Dah.. Niletee ile kule nyuma ya kijivuDah sikujua hili ndo maana nlikuwa na sitasita. Basi sasa nitayaleta kama haya zaidi ya 30.View attachment 1755332
Hapa ndio unakuja kugundua akili ya muafrika ina shidaUkipita kampala ukaona mikwaju wanayosukuma waganda, ukipita Nai city magari ya maana yapo road ukifuatilia ushuru wao ni wa kawaida kabisa yaani TRA ni watu wa ajabu hawajui wanataka nini kwa wakati gani, importation ya magari ikowa kubwa hata mafuta yatauzika sana, na kulikua na uwezekano hata nchi jirani kununua magari hapo hapo Bongo, ninadhani wanaweka viwango vikubwa vya kodi wakihisi ni kuongeza mapato kumbe wanayapunguza bila wao kufahamu
Sijajua mkuuKabla ya hapo ushuru ulikuwa kiasi gani?
Hapa ndio huwa nasema muafrika bado ni nyaniVipo vibenzi huku vya zamani vi tipper ushuru unaenda therathini huko wakati hapa unaweza kupata bei ya kutupa tuu tunabaki kugharamia mchanga kwa bei kubwa kisa tumejibana kwenye ushuru wa ajabu ajabu...
Usijali mkuu ntakuletea. Ninayo mengi tu. Yote ni 0km na 2021.Dah.. Niletee ile kule nyuma ya kijivu
Hebu ntaftie danga mkuu liwe zee napenda zaidi tusichoshane..!maisha haya ya kuendeshaga vi rav 4 had liniUsijali mkuu ntakuletea. Ninayo mengi tu. Yote ni 0km na 2021.View attachment 1755753View attachment 1755754View attachment 1755755View attachment 1755756
Wewe khenge, hiyo tofauti ya milioni 4 ni kodi ndogo? Acha kujifanya mjuaji, kodi za nchi hii ni kubwa sana utadhani wanalinda kiwanda chao cha magari.Angalia mifano;
1. Amarok canyon ya 2011, bei usd 20k ushuru wake 30ml
2. Amarok canyon ya 2014, bei usd 20k ushuru wake 26ml
Zote cc2000View attachment 1755382View attachment 1755383View attachment 1755384View attachment 1755385View attachment 1755386
View attachment 1755387
View attachment 1755388
Coaster m80!!! Hela ya Mercedes Benz sprinter hiyo mpya.Angalia magari aina ya coaster enzi za Kikwete yalikuwa yanachezea 35ml lkn kipindi cha Magu yamepanda mpaka 80ml hii ni ajabu na nusu
Mimi niko Copenhagen Denmark
Tunatumia pia magari mabaya Kama vile hatuna bandari ni kama tumerogwa vile mkuuWatu tunabandari lakini tunanunua magari bei kubwa kuliko walio mbali na bandari kisa ushuru tu.
Karibu sanaNikipata muda ntakuja tuonane
Nadhani mkuu wanafanya ivyo kuondoa iyo kitu inaitwa dumping.Tatizo la taasisi za nchi hii ni kutokujua wanataka nini hasa ??
Hivi lengo la kuweka kodi kubwa kwenye magari used ni kukusanya kodi kubwa au ku-discourage importation kubwa ya magari used ili watu wanunue magari mapya?????
Ndio bei zake kwa ssCoaster m80!!! Hela ya Mercedes Benz sprinter hiyo mpya.
Ni nafuu theoretically.Ninavyojua magari mapya ushuru wake ni nafuu.
Spare siyo spearWangeshusha ushuru wenye Ford ranger wangekuwa zaidi ya 500 na ushuru wangepokea zaidi na zaidi. Pia hapo hapo wauza spear wangeongezeka,