Chris Lukosi katoa ushauri mzuri jinsi TRA wanavyokosa mapato

Ukipita kampala ukaona mikwaju wanayosukuma waganda, ukipita Nai city magari ya maana yapo road ukifuatilia ushuru wao ni wa kawaida kabisa yaani TRA ni watu wa ajabu hawajui wanataka nini kwa wakati gani, importation ya magari ikowa kubwa hata mafuta yatauzika sana, na kulikua na uwezekano hata nchi jirani kununua magari hapo hapo Bongo, ninadhani wanaweka viwango vikubwa vya kodi wakihisi ni kuongeza mapato kumbe wanayapunguza bila wao kufahamu
Hapa ndio unakuja kugundua akili ya muafrika ina shida
 
Dah.. Niletee ile kule nyuma ya kijivu
Usijali mkuu ntakuletea. Ninayo mengi tu. Yote ni 0km na 2021.
Screenshot_20210418_201821_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20210418_201903_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20210418_201900_com.android.chrome.jpg
Screenshot_20210418_201906_com.android.chrome.jpg
 
Angalia magari aina ya coaster enzi za Kikwete yalikuwa yanachezea 35ml lkn kipindi cha Magu yamepanda mpaka 80ml hii ni ajabu na nusu
 
Tatizo la taasisi za nchi hii ni kutokujua wanataka nini hasa ??

Hivi lengo la kuweka kodi kubwa kwenye magari used ni kukusanya kodi kubwa au ku-discourage importation kubwa ya magari used ili watu wanunue magari mapya?????
Nadhani mkuu wanafanya ivyo kuondoa iyo kitu inaitwa dumping.
 
Mbona hakusema kipindi kile YESU wa kijani akiwa hai ili akabadilishe sheria za kodi bungeni, nae asituchanganye TRA Inasimamia sheria za kodi na kutoza kodi.

Apunguze unafiki wake wa kusifia
 
Back
Top Bottom