Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Kwa lengo gani wafanye hivyo? Yaani watu wapoteze fedha kwa ajili ya kuaminisha dunia uongo? Wewe ukipiga video call unaaminije kuwa unaongea na mtu halisia on the other side? Hata hivyo, una uhuru wa kuamini au kutoamini.

Chief , Mzungu yuko tayari apoteze pesa nyingi ili tu aonekane yuko higher than others...refer kifo cha osama ndio utajua hawa sio wa kuamini aise....
 
anayekosolewa ni yule ambaye tayari ana idea, wewe huna
Safi kabisa, thibitisha hilo.

Pili, hata asiye jua kabisa anakosolewa kwa aidha anahisi anajua kumbe hajui na hajui kama hajui. Kijana unaonekana aidja sayansi uliisoma ila ukatoka patupu au huijui kabisa ila unashabikia tu ndiyo maana kujenga hoja juu ya hii mada huwezi, unarukia rukia hoja za watu.

Tatu, humu nimewauliza maswali mnakimbia kimbia.
 
kuna maji chini ya surface ya mars ambayo yanaweza kushikilia oxygen ya kutosha kuweza kusaidia maisha kwa viumbe vilivyopo duniani.

Na mars sio kwamba hakuna oxygen kabisa bali ipo kwa kiwango kidogo kulinganisha na carbon dioxide iliyo tawala
Hizi habari unazithibitisha vipi kama za kweli ? Hili swali mbona rahisi sana mnalikimbia ?

Ni sawa nikuulize,je unahakikisja vipi historia yoyote unayo iamini wewe kuwa ni ya kweli ? Ukishindwa swali hili na hilo la hapo juu, tunahitimisha ya kuwa nyinyi huwa mnaamini vitu kichwa mchunga yaani kububusa tu. Sasa msilazimishe na sisi tuwe mazwazwa kama nyinyi, hizi akili tumepewa bure lazima tuzitumie katika usawa siyo kupenda stori na utoto mwingi.

Nawakumbusha tu ya kuwa muwe mnajibi maswali ninayo wauliza.
 
Hivi kwanini hawakurudi tena mwezini. Tafiti za mwezini ziliishia wapi au ziko classified huko kwao!
Lack of political will sababu wao ndo waidhinishi fedha, plus mazingira ya cold-war yalimotivate kwenda mwezini, na tatu kipaumbele ni kwenda Mars na sio mwezin
 
Safi kabisa, thibitisha hilo.

Pili, hata asiye jua kabisa anakosolewa kwa aidha anahisi anajua kumbe hajui na hajui kama hajui. Kijana unaonekana aidja sayansi uliisoma ila ukatoka patupu au huijui kabisa ila unashabikia tu ndiyo maana kujenga hoja juu ya hii mada huwezi, unarukia rukia hoja za watu.

Tatu, humu nimewauliza maswali mnakimbia kimbia.
Sio lazima uamini na hujalazimishwa kuamin we endelea hivyo hivyo kutokuamini utapungukiwa na kitu usichoshe watu
 
Sio lazima uamini na hujalazimishwa kuamin we endelea hivyo hivyo kutokuamini utapungukiwa na kitu usichoshe watu
Sasa ndiyo muache kutuhubiria habari ambazo hamna elimu nazo na msizoweza kuzijengea hoja.

Nyinyi huwa nawaita "Mashabiki wa Sayansi".Bila shaka unazijua tabia za mashabiki.
 
Sasa ndiyo muache kutuhubiria habari ambazo hamna elimu nazo na msizoweza kuzijengea hoja.

Nyinyi huwa nawaita "Mashabiki wa Sayansi".Bila shaka unazijua tabia za mashabiki.
Hili ni jukwaa huru Kama hujapendezwa na habari unaipotezea ujashikiwa fimbo, wako ambao wako interested wewe Kama hauna ni wewe usitake watu waishi Kama unavyotaka wewe
 
wajaalna minal maai kulli shayinn hayya........haya maneno ya muumbaji wa vyote mnavyoviona yasipofanyiwa kazi wataambulia sifuri kubwa.
 
Hizi habari unazithibitisha vipi kama za kweli ? Hili swali mbona rahisi sana mnalikimbia ?

Ni sawa nikuulize,je unahakikisja vipi historia yoyote unayo iamini wewe kuwa ni ya kweli ? Ukishindwa swali hili na hilo la hapo juu, tunahitimisha ya kuwa nyinyi huwa mnaamini vitu kichwa mchunga yaani kububusa tu. Sasa msilazimishe na sisi tuwe mazwazwa kama nyinyi, hizi akili tumepewa bure lazima tuzitumie katika usawa siyo kupenda stori na utoto mwingi.

Nawakumbusha tu ya kuwa muwe mnajibi maswali ninayo wauliza.
Sawa nakubali tueleweshane ila kabla ya yote ningependa kujua unavijuaje hivi vitu?

Isije ikawa hata uwepo wa sayari ya mars unapinga, ni bora kuelewa mapema tuwekqne sawa zaidi ili nijue ni kiasi gani unayaelewa mambo ya anga kabla hatujafika mbali
 
Sawa nakubali tueleweshane ila kabla ya yote ningependa kujua unavijuaje hivi vitu?

Isije ikawa hata uwepo wa sayari ya mars unapinga, ni bora kuelewa mapema tuwekqne sawa zaidi ili nijue ni kiasi gani unayaelewa mambo ya anga kabla hatujafika mbali
Usipoteze mda wako kumuelewesha huyo anapinga kila kitu
 
Safi kabisa, thibitisha hilo.

Pili, hata asiye jua kabisa anakosolewa kwa aidha anahisi anajua kumbe hajui na hajui kama hajui. Kijana unaonekana aidja sayansi uliisoma ila ukatoka patupu au huijui kabisa ila unashabikia tu ndiyo maana kujenga hoja juu ya hii mada huwezi, unarukia rukia hoja za watu.

Tatu, humu nimewauliza maswali mnakimbia kimbia.
Sasa jambo gani ambalo unaona limekosekana kuweza kuifanya habari hiyo iwe kweli?

Ni uthibitisho wenye components gani ambazo zinatosha kukushawishi mpaka ukaridhika na habari hiyo kuwa ni kweli?

Au hata wewe hujui unachokitaka unabisha tu?
 
Usipoteze mda wako kumuelewesha huyo anapinga kila kitu
Huyu namjua vizuri anakiubishi flani cha kitoto

Kapewa uthibitisho hapa ambao ushakua calculated wamempunguzia kazi ili kumrahisishia lakini kaupinga.

Anakataa fact kwamba sio uthibitisho, Halafu anakuja kuamini kitabu cha kale kua kimesema ukweli kua kuna mtu aligawanyisha mwezi vipande viwili kisha akauunga tena
 
Chief , Mzungu yuko tayari apoteze pesa nyingi ili tu aonekane yuko higher than others...refer kifo cha osama ndio utajua hawa sio wa kuamini aise....
Kwa kifo cha Osama "alipoteza" kiasi gani ? Unafikiri walimuua Osama ili tu waonekane juu na si kwa sababu yeyote ya msingi ?
 
Naanzia hapa,suala la budget waesema lini au umejiaje kama budget ni kubwa? Umbali wa kwenda Mars na Mwezini unatofautiana vipi na changamoto ni zipi ? Bajeti hiyo ni kiasi gani wanayo

Kuna swali nilikuuliza wewe unahihikisha vipi ya kuwa kweli wameenda Mwezini au Mars? Marejeo yako wewe ni yapi? Hili swali hujalijibu. Kwamba je kwa kuona picha au kusikia habari?

Hapa naona unawachoresha Wanasayansi na kuwafanya tuwaone wamebweteka. Kisayansi walitakiwa mpaka sasa hivi wawe wameshaenda zaidi ya mara kumi sababu ni zaidi ya miongo mitatu tangu tuambiwe Nail alikwenda mwezini. Maana yake walitakiwa wawe wameshabuni vifaa vyenyw ufanisi mkubwa na kwa gharama nafuu.

Labda watuambie ya kuwa gharama imekuwa kubwa zaidi ya kuandaa movie kama hiyo, au wameshajua ya kuwa watu wameshawaona wao mazwazwa kwa kuigiza tukio hilo pale Area 51.

Lakini suala la uzandiki juu ya tukio la mwezini mbona limeshabatilishwa tangu zamani na husemwa pia sababu ya kifo cha John F. Kenedy ni kufichua siri au kutaka kufichua mbinu hiyo. Kihistoria husemwa ya kuwa hiyo ilikuwa ni vita baina ya USSR na Marekani katika kuonyeshana umwamba maendeleo ya kisayansi.

Mimi siyo kwamba nadhani bali nina uhakika kabisa.

Watuambie kwanza umbali wa kutoka katika uso wa dunia mpaka mwezini ni kiasi gani ? Bila kuweka Assumtions yoyote ile, wakiweka tu Assumptions wameharibu.

Pili, walitumia vigezo gani kutengeneza kifaa ambacho walijua fika kitawapeleka na kuwafikisha mwezini ? Hapa inabidi watuambie. Maana yake kabla inabidi ufanya ufanue utafiti, na utembelee sehemu husika. Tafiti hii ilifanyika wapi na kwa kutumia nini ?

Sasa unapohoji haya mambo ndipo unapoona ya kuwa hili ni igizo na wengine walithibitisha hilo.

Tatu, kiimani jambo hili hali wezekani, sababu hakuna anaejua ya kuwa Mwezi uko umbali gani toka mbingu ya kwanza ila kwa macho ukiangalia vizuri unaona ya kuwa mwezi uko karibu sana na mbingu ya kwanza kuliko ardhini, yaani duniani. Tunaambiwa umbali wa mbingu ya kwanza na dunia na mbingu na mbingu ni mwendo wa miaka 500. Hii ni kwa mwendo kasi wa juu zaidi (Rejea jaya katika kitabu kiitwacho "Qamus al Bida'ah" ). Maana chini ya muda huo hizo zinabaki kuwa stori tu na kufurahisha nafsi.

Tatu, zipo sababu za kisayansi zinazo pinga igizo hilo. Unaweza kuzifatilia Google ukazipata. Ukisearch "Did we land on the moon". Utaona mambo mengi wapo wanao thibitisha ya kuwa tukio hilo ni kweli na wale wanao kadhibisha tukio hilo, ukipima katika mzani utaona ya luwa hawa wapili wana hoja zenye nguvu mno kuliko wengin, na hao wa kwanza wameanza kuja kuandika hayo hivi karibuni.

Narudi kuendelea hapa nilipoishia.
mbinguni ndio wapi asee?
 
Kuna vitu mi nashindwa kuviamini hasa inapotokea nguvu kubwa yakutaka niamini... sasa hiyo picha kaipiga nani aliyekua katangulia huko chombo kinapotua?
picha haihusiani na tulio halisi Bali hutumika kuelezea na kuonyesha jinsi mission inavokuwa
 
Sensor inafungwa kwenye camera nyngne kwenye chombo pia au sehemu nyingne yyte ndani ya chombo kutokan na uhitaji. Sas kinachofanyika sensor ina uwezo wa kubadlisha badliko la kitabia kuwa umeme. Sas ko wanaweza sema labda wafunge sensor ya joto ina maan ikifika sehem ikatokea badliko la joto sensor itatoa taarifa kwa umeme. Ko kuna action itafuata ya kiumeme nd kama switching ya camera. Pia wanaeza funga sensor ya umbali it means wanaset umbali fulani ukifikiwa basi sensor itatoa taarifa ya kiumeme kuruhusu action fulani ambayo kwa case yetu ni switching ya camera on.
Asante kwa majibu mazuri ambayo hayajajibu mshangao wangu... ninachotaka kujua camera iendeshwe na sensor au iwe kwenye stand, drone au robot....

Wakati chombo kinatua picha zilipatikana, ndio nauliza hiyo camera iliyokipiga chombo wakati kinatua ilitangulia kusubiri kupiga picha au ni moja ya vifaa vilivyoenda na chombo ila wakati kimekaribia ardhi camera ikatangulizwa ili tuone picha.... ???
 
Yaani hii balaa chombo hiki kimekimbia muda wa miezi sita
...speed yake km 85 kwa sekunde moja kam sio uongo nini wazungu ni waongo sana wanataka kututoa kwenye reli kuhusu corona tu
hiyo speed si mchezo bora kuisoma tuu ila ukiivutia picha uhalisia wake aisee hiyo ndio kufumba na kufumbua. Mara paap umefika.
 
Unachanganya Mambo.
Wao wanasema wanataka kwenda kuishi kabisa.
Ukiacha na huo utafiti wanaoufanya.
Ndo Mimi napinga. Kwenda kuishi mars itakuwa ngumu.
Maana mars haipo kama dunia.
Dunia tumeikuta ikiwa na MATIRIO YOTE yanayotusaidia kuishi tofauti na mrs
hakuna mahali nimepinga kwa bila bila oxygen mtu hawez ishi but usichojua with right component oxygen can be generated.
kwa taarifa yako tu ni kuwa oxyhen can be generated kwa mashine maalum na wataalam wakatumia kwa muda huo watakuwepo na kurudi nyumbani.
 
Back
Top Bottom