BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Kwa lengo gani wafanye hivyo? Yaani watu wapoteze fedha kwa ajili ya kuaminisha dunia uongo? Wewe ukipiga video call unaaminije kuwa unaongea na mtu halisia on the other side? Hata hivyo, una uhuru wa kuamini au kutoamini.
Chief , Mzungu yuko tayari apoteze pesa nyingi ili tu aonekane yuko higher than others...refer kifo cha osama ndio utajua hawa sio wa kuamini aise....