Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Wamesikika wakisema "ushuuu!!!" maana ingetua pembeni wangebanwa
 
We jamaa umenifikirisha
 
China walituma chombo chao chang'e mwezini na kimerudi na sample kutoka mwezini December 16 2020.

Pia nasa wana Artemis moon program ambapo 2024 watapeleka mwanamke wa kwanza mwezini na mwanaume kwa mara nyingine.
No one has ever landed on the moon


Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hawa ndio wanasayansi, si hawa wa huku wameamua kupambana na waganga wa tiba asili katika kutafuta mizizi , magome au majani ya kutibu covid.
 
Wewe ndo unajibana.
Katika hizo sayari Tisa na dunia ikiwemo.ni moja Tu inayosapoti maisha.
Na hata ukiangalia mizunguko ya hizo sayari kulizunguka JUA.ni wazi dunia ndo ina afaa kuishi
Eti sayari 9,utafiti umeonesha ziko 11 hizo tisa wewe umezijuaje bila wazungu kukuambia? Utafiti unaonesha huenda kuna zaidi ko kadiri Sayansi inavyokua mambo mengi yatazidi kufahamika
 
Kuna vitu mi nashindwa kuviamini hasa inapotokea nguvu kubwa yakutaka niamini... sasa hiyo picha kaipiga nani aliyekua katangulia huko chombo kinapotua?
Poleni hata geografia ya la saba hamkusoma au? Hivi zile pcha za mpangilio wa sayari 9 alipiga nani?

Ndio maana kuna darubini inapiga picha na watu wanafanya analysis ya picha.Madam chombo kimefika subiri Hali halisi ya majibu
 
Kwa Sisi wa huku duniani ndo tunaenda kuanzisha maisha mapya huko mars?
Tutaenda na ndege za kawaida au Kwa hizo hizo rocket?
Hapa tuu duniani watu wanazaliwa bila kukutana kimwili mbegu zinaunganuishwa anatokea binadamu sasa hilo la kwenda kuwazalisha huko huoni ni rahisi zaidi?

Utafikaje kwani huoni zamani wakati wanaanza utafiti it used to take years kufika Mars sasa hivi ni miezi ko tech unakua na itaboreshwa zaidi.

Rocket za vita zinatumia chini ya saa moja ku hit target ya bara moja Hadi jingine ndio watashindwa vipi ku improve speed hapo?
 
Hawa mabeberu wanatuchukia na sisi wanataka kutuona kwa juu maendeleo yetu ya SGR tusikubali kabisa hawa jamaa sasa too much.
eti mzungu mwenye interchange na sgr toka miaka ya 60/70s aje kukuonea wivu ,aisee nahisi wanaweza kuwa wanatumia maelezo yetu kama vichekesho na kebehi kwa waafrika.

Ni aibu kweli kweli,wazungu walifanya maendeleo makubwa wakaysharibu kwa vita mara 2,wamefanya tena lakini bado Afrika hatujafikia hata yale ya enzi za uvumbuzi wa machine
 
Hata wakitufanya laboratory apparatus ni sawa maana we are doing nothing zaidi ya kutiana tuu
 
Watapeleka na oxygen?.
Hicho ndo kitu ambacho najiuliza.
kwenda wanaweza wakaenda swali wataishi vipi bila oxygen?
Cha kwanza wameenda ,hayo mengine ubongo utazidi kuchapa kazi,hata robots wanaweza kuwekwa huko au anything different

Majuzi niliona bbc wanataka waanze kuunganisha genes za binadamu na wanyama wengine Ili kitokee kiumbe mpya
 
Kwanini inakua rahis mars na mwezini inakua ngumu kufika Wala kutuma vifaa??

Mwenye kujua anijibu

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama ni ngumu,mwezi umefanyiwa Sana utafiti na ni subset ya dunia na ikumbukwe kila planets ina mwezi au several moons

Pengine pameonekana hapana tija zaidi ngoja waende kwenye planets wanakoamini huenda kuna maisha mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…