msawe
Member
- Mar 1, 2019
- 76
- 74
Inakuwa ngum kuelewa kwasababu hatufuatilii mtu akisikia bhas ila ukiwaambia vumbi la kongo lazma wafuatilie ndy tunavipenda ivyooWenzako wanajifungia ndani wanafanya tafiti za mabilion ya pesa wewe from no where.. i mean not from no where like no where yani kwenye sofa la shemeji yako hapo unaita "UONGO".