VAN HEIST
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,434
- 617
- Thread starter
- #141
SEHEMU YA 28
ILIPOISHIA
Mpenzi msomaji , wiki iliyopita niliishia pale
Beka alipoingia chumbani kwake na kuanza
kumfikiria Rhoda na Rey kitendo
kilichosababisha mkuu wake wa kaya
kuchachamaa akaamua kumtuliza kwa
kumshika ndiyo akaongeza majanga. Je,
kilifuatia nini ? Songa mbele
ENDELEA. ..
Kijana huyo ambaye muda huo alikuwa yupo
kama alivyokuja duniani, alijikuta amesimama
akawa anazunguka chumba kizima huku
kamshika mkuu wake wa kaya .
Hata hivyo , haikusaidia kwani alichokihitaji
muda ule ni kiumbe wa kumpa mkomboti
wa nguvu lakini ikawa imekula kwake kwani
hakuwepo Rhoda wala Rey .
Baada ya kuteseka kwa dakikaa kadhaa
alirukia kitandani ambapo aliapa kesho yake
asubuhi na mapema kwenda kumsaka Rey
nyumbani kwao na kwa kutumia fedha
alizopewa na baba yake kuzama naye
chimbo ili kuondoa udhia.
Kwa kuwa muda ulikwenda hakuchukua
muda mrefu akapitiwa na uzingizi, pale
sebuleni mzee Kibandiko aliyekumbuka jinsi
mwanaye Beka alivyomtaiti Mutu
kichochoroni, si naye joto likampanda .
Alichokifanya mzee huyo ambaye alikuwa
anajimudu kila idara yaani akiwa katika
uwanja wa fundi seremala lazima mtu alie na
kwa upande wa kula chabo ndiyo
usipime, alimwangalia mkewe jinsi alivyonona
akajisemea moyoni :
Hata kama jana tulikutana leo sikuachi ng o
hiyo ndiyo kazi uliyojia hapa kwangu .
Baada ya kuwaza hivyo , akainua miguu yake
na kuilaza mapajani mwa mkewe kisha
akamkonyeza, mkewe akashindwa kujizuia
kucheka.
Nilijua tu kwa jinsi ulivyofurahi leo
sitapona ! mkewe alimwambia.
Umeona eh , nitakuwa mwanaume wa ajabu
sana nisipokupa raha mke wangu si unajua
hiki ndiyo ulichokifuata kwangu ? mzee huyo
alimwambia mkewe huku akimuonesha kwa
ishara sehemu yake kuu. Mkewe akiwa
anacheka kutokana na vituko vya mumewe ,
mzee Kibandiko alikuwa ameinuka na kaanza
kuyashambulia maeneo ya moto ya mkewe,
mama wa watu akaanza kuhemka .
Wanandoa hao waliendelea kuleteana fujo
pale kwenye kiti si mzee Kibandiko akaanza
kutoa kiwalo kimoja kimoja cha mkewe.
Baba Beka bwana! Hivi unajua mwanao
anaweza kuingia huku sebuleni? mkewe
alimwuliza .
Kwa ninavyomjua hawezi kuja kwa sababu
akilala huwa hana kawaida ya kuamka
mpaka asubuhi, shaka ondoa mama! mzee
Kibandiko alimwambia mkewe na kuliminya
ziwa moja la mkewe, mkewe akajirusha juu.
Haya bwana , ila mwenzio sina amani
kabisa , hivi kwa nini tusiende chumbani?
mkewe alimwuliza .
Kufuatia kuulizwa hivyo , mzee Kibandiko
ambaye macho yalimuiva alimwambia kama
Beka akiingia sebuleni na kuwakuta ndiyo
akili itamkaa sawa .
Eh ! Mtoto kuona tunavyofanyiana akili
itamkaa sawa ! Ila wewe baba Beka
inaonekana kichwa chako hakiko sawa !
mkewe alimwambia .
Baada ya mkewe kutoa kauli hiyo , mzee
Kibandiko alimuachia mkewe akainuka na
kuelekea kwenye mlango wa sebuleni . Mkewe
alipata wasiwasi na kufikiria alimkera
mumewe alipomwambia kama kichwa chake
kilikuwa sawa , akawa anamuangalia.
Mzee huyo ambaye mkuu wake wa kaya
alikuwa kachukia kweli alipoufikia mlango wa
kuingia vyumbani, aliufunga kwa funguo .
Umeamini nina akili timamu , sema lingine,
mzee Kibandiko alimwambia mkewe
aliyeishia kucheka.
Kwa kuwa walijua Beka asingeweza kuingia
sebuleni, mzee huyo ambaye alikuwa na
staili zake flani hivi kama kumi za yake
mambo yetu , akamnyonyoa manyoa yote
mkewe naye akayatoa yake .
Kwa kuwa alimpania sana wife wake ,
alimshika sehemu zote alizojua mkewe
akishikwa lazima aimbe nyimbo za kabila
lake , alipoona kaiva , akambetua na sijui
alimzungushaje pale kwenye kiti mama
akaanza kulia kwa raha! Mzee huyo ambaye
ana falsafa yake isemayo kwamba
unayoifanya nyumba ndogo muwapo faragha
yawe mara tatu kwa mkeo alimpa mambo
mazito mkewe mpaka akawa hoi.
Baba Beka wewe ni noma , leo nitalala kama
mfu, mkewe alimwambia baada ya kupewa
bakora mbili za uhakika .
Hivyo ndivyo ninavyotakiwa kukufanyia mke
wangu, kama umeshiba nashukuru haya
twende tukalale , mzee huyo alimwambia
mkewe. Wanandoa hao walitoka pale
sebuleni wakiwa wamebeba nguo zao
mikononi, mzee huyo alifungua mlango
wakanyoosha kuelekea chumbani kwao .
Saa hizi humuogopi mwanao? mzee
Kibandiko alimtania mkewe wakati wanaingia
chumbani kwao wakiwa watupu .
Mkewe alipoambiwa hivyo alicheka sana na
walipoingia chumbani mama huyo alifikia
kujibwaga kitandani maana alikuwa
kavurugwa haswa na mumewe ambaye
aliimudu vyema tasnia ya mapenzi.
Je, Beka atafanikiwa kumpata Rey?? Ungana nami toleo lijalo
ILIPOISHIA
Mpenzi msomaji , wiki iliyopita niliishia pale
Beka alipoingia chumbani kwake na kuanza
kumfikiria Rhoda na Rey kitendo
kilichosababisha mkuu wake wa kaya
kuchachamaa akaamua kumtuliza kwa
kumshika ndiyo akaongeza majanga. Je,
kilifuatia nini ? Songa mbele
ENDELEA. ..
Kijana huyo ambaye muda huo alikuwa yupo
kama alivyokuja duniani, alijikuta amesimama
akawa anazunguka chumba kizima huku
kamshika mkuu wake wa kaya .
Hata hivyo , haikusaidia kwani alichokihitaji
muda ule ni kiumbe wa kumpa mkomboti
wa nguvu lakini ikawa imekula kwake kwani
hakuwepo Rhoda wala Rey .
Baada ya kuteseka kwa dakikaa kadhaa
alirukia kitandani ambapo aliapa kesho yake
asubuhi na mapema kwenda kumsaka Rey
nyumbani kwao na kwa kutumia fedha
alizopewa na baba yake kuzama naye
chimbo ili kuondoa udhia.
Kwa kuwa muda ulikwenda hakuchukua
muda mrefu akapitiwa na uzingizi, pale
sebuleni mzee Kibandiko aliyekumbuka jinsi
mwanaye Beka alivyomtaiti Mutu
kichochoroni, si naye joto likampanda .
Alichokifanya mzee huyo ambaye alikuwa
anajimudu kila idara yaani akiwa katika
uwanja wa fundi seremala lazima mtu alie na
kwa upande wa kula chabo ndiyo
usipime, alimwangalia mkewe jinsi alivyonona
akajisemea moyoni :
Hata kama jana tulikutana leo sikuachi ng o
hiyo ndiyo kazi uliyojia hapa kwangu .
Baada ya kuwaza hivyo , akainua miguu yake
na kuilaza mapajani mwa mkewe kisha
akamkonyeza, mkewe akashindwa kujizuia
kucheka.
Nilijua tu kwa jinsi ulivyofurahi leo
sitapona ! mkewe alimwambia.
Umeona eh , nitakuwa mwanaume wa ajabu
sana nisipokupa raha mke wangu si unajua
hiki ndiyo ulichokifuata kwangu ? mzee huyo
alimwambia mkewe huku akimuonesha kwa
ishara sehemu yake kuu. Mkewe akiwa
anacheka kutokana na vituko vya mumewe ,
mzee Kibandiko alikuwa ameinuka na kaanza
kuyashambulia maeneo ya moto ya mkewe,
mama wa watu akaanza kuhemka .
Wanandoa hao waliendelea kuleteana fujo
pale kwenye kiti si mzee Kibandiko akaanza
kutoa kiwalo kimoja kimoja cha mkewe.
Baba Beka bwana! Hivi unajua mwanao
anaweza kuingia huku sebuleni? mkewe
alimwuliza .
Kwa ninavyomjua hawezi kuja kwa sababu
akilala huwa hana kawaida ya kuamka
mpaka asubuhi, shaka ondoa mama! mzee
Kibandiko alimwambia mkewe na kuliminya
ziwa moja la mkewe, mkewe akajirusha juu.
Haya bwana , ila mwenzio sina amani
kabisa , hivi kwa nini tusiende chumbani?
mkewe alimwuliza .
Kufuatia kuulizwa hivyo , mzee Kibandiko
ambaye macho yalimuiva alimwambia kama
Beka akiingia sebuleni na kuwakuta ndiyo
akili itamkaa sawa .
Eh ! Mtoto kuona tunavyofanyiana akili
itamkaa sawa ! Ila wewe baba Beka
inaonekana kichwa chako hakiko sawa !
mkewe alimwambia .
Baada ya mkewe kutoa kauli hiyo , mzee
Kibandiko alimuachia mkewe akainuka na
kuelekea kwenye mlango wa sebuleni . Mkewe
alipata wasiwasi na kufikiria alimkera
mumewe alipomwambia kama kichwa chake
kilikuwa sawa , akawa anamuangalia.
Mzee huyo ambaye mkuu wake wa kaya
alikuwa kachukia kweli alipoufikia mlango wa
kuingia vyumbani, aliufunga kwa funguo .
Umeamini nina akili timamu , sema lingine,
mzee Kibandiko alimwambia mkewe
aliyeishia kucheka.
Kwa kuwa walijua Beka asingeweza kuingia
sebuleni, mzee huyo ambaye alikuwa na
staili zake flani hivi kama kumi za yake
mambo yetu , akamnyonyoa manyoa yote
mkewe naye akayatoa yake .
Kwa kuwa alimpania sana wife wake ,
alimshika sehemu zote alizojua mkewe
akishikwa lazima aimbe nyimbo za kabila
lake , alipoona kaiva , akambetua na sijui
alimzungushaje pale kwenye kiti mama
akaanza kulia kwa raha! Mzee huyo ambaye
ana falsafa yake isemayo kwamba
unayoifanya nyumba ndogo muwapo faragha
yawe mara tatu kwa mkeo alimpa mambo
mazito mkewe mpaka akawa hoi.
Baba Beka wewe ni noma , leo nitalala kama
mfu, mkewe alimwambia baada ya kupewa
bakora mbili za uhakika .
Hivyo ndivyo ninavyotakiwa kukufanyia mke
wangu, kama umeshiba nashukuru haya
twende tukalale , mzee huyo alimwambia
mkewe. Wanandoa hao walitoka pale
sebuleni wakiwa wamebeba nguo zao
mikononi, mzee huyo alifungua mlango
wakanyoosha kuelekea chumbani kwao .
Saa hizi humuogopi mwanao? mzee
Kibandiko alimtania mkewe wakati wanaingia
chumbani kwao wakiwa watupu .
Mkewe alipoambiwa hivyo alicheka sana na
walipoingia chumbani mama huyo alifikia
kujibwaga kitandani maana alikuwa
kavurugwa haswa na mumewe ambaye
aliimudu vyema tasnia ya mapenzi.
Je, Beka atafanikiwa kumpata Rey?? Ungana nami toleo lijalo