hapana mkuu... nimejaribu kuisaka sehemu ya 43-48 sijaipata...
Ninzuri sana tatizo nimeshaona haifiki mwicho mbona njiapanda watuachastory nzuri ila inachosha.... inaelekea unajifunza!! watu wawil wakiwa wanaongea weka conversation, sio kila akiongea beka unasema beka aliongea mara baba beka alimjib wakati tunajua watu wako wawil, weka majina panapotakiwa, sio kila sentensi.... ni ushari tu.
mbona ulikuwa hujapajazianilichanganya sehemu ya 10 kwa 11 nimeshaweka sawa.. part iliyomis ni kwamba baada ya kumchapa beka akamwacha aende kusafisha banda la mbwa na yeye akarudi kwa mkewe kutokana na uzuri wa mkewe hasira zote zikapoa wakajikuta wanafanya majamboz...