Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
aah.. Kuoaa!! Bado nipo nipo sanaaa.... Ila huyu binti mlokole Zion Daughter ...ngoja niishie hapa
hahahaaha nimesema Kuona kasome vizuri lol
aah.. Kuoaa!! Bado nipo nipo sanaaa.... Ila huyu binti mlokole Zion Daughter ...ngoja niishie hapa
Si ndo nimekuambia kuwa hilo ni simpo sana..tunaweza sogeza siku..Lakn inabidi uombe ruhusa kwanza.Nakupewa ruhusa sharti na wewe uwe mchumba wa Yesu..
unantajia nini wewe?
naomba ukatibuuuuuu
ssshh.... Hujasoma
:S A-comfused1:
Duh.... Wee... Nani amekudanganya huko PM tena..? Ama binti Mzungu hunbig amerudi?
comferm ukatibu basii
mweeee...... Mmh... Mi habari za uchumba na Yesu sizitaki... Mi niambie uchumba na wewe tu ndo nitakuelewa
umeona huyu binti alivyo pasua kichwaa?
Mie, nipo nae pamoja via PM anawapa Hi sana
Mie, nipo nae pamoja via PM anawapa Hi sana
tulizana jombaa... Mimi takupa wewe nyota mingi mingi... Veve nakua naamrisha gwaride hapa CC Kila siku
Nilijua tu..moyo wako mgumu kama jiwe..Laiti leo ungesikia sauti yake usiufanye moyo wako mgumu...
Unasemaje? sema kwa sauti mbona unanong'ona??!!!!:S A-comfused1:
sitakiii
Unasemaje? sema kwa sauti mbona unanong'ona??!!!!