CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

CHIT-CHAT BACHELORS (C.C.B) Jiandikishe mapema

Hiki ni chama kipya kabisa kinachopokea mabachela wote JF... Tukiwa na mitazamo tofauti na kile cha Baba V ... Huku ni burudani... Yaani stress free.... Watu kama charminglady , stevoh na C6 munakaribishwa. Na wale mabachela wa longtym kama noahism na figganigga munakaribishwa kujinyakulia kujitwaalia nafasi za uongozi wa chama cha raha a.k.a CHIT CHAT BACHELORS... Uandikishaji umeanza... Wahi sasa

Kuna mkaka anaitwa Marry Hunbig, msajilini naye
 
Last edited by a moderator:
Donn kwa heshima yako naomba umpe stevoh mikoba anahamu sana majukumu. Raha ya maisha ndoa na unapate anae kupenda. Kila la kheri C.C.B
 
Last edited by a moderator:
Hiki ni chama kipya kabisa kinachopokea mabachela wote JF... Tukiwa na mitazamo tofauti na kile cha Baba V ... Huku ni burudani... Yaani stress free.... Watu kama charminglady , stevoh na C6 munakaribishwa. Na wale mabachela wa longtym kama noahism na figganigga munakaribishwa kujinyakulia kujitwaalia nafasi za uongozi wa chama cha raha a.k.a CHIT CHAT BACHELORS... Uandikishaji umeanza... Wahi sasa

Mkuu... hebu niwekee oda ya namba za mwisho.mwisho make mwenyekiti Baba V hataki kutoa tamko rasmi.... Nashiklndwa hata kufunguka humu make mpaka sasa sijui status yangu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom