Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,174
- 10,445
Ni.kama wengi tunatumia nadharia za kwenye makaratasi zaidi kuliko realistic.Dogo hujui. Marekani hategemei china. China soko lake kuu ni Marekani kama hukuambiwa.View attachment 3300668View attachment 3300669View attachment 3300670
Mfano: Kenya anategemea mahindi toka Tz na Tz nineporter wa mahindi.hivi akiweka ushuru mkubwa kwa mahindi ya Tz nani anapata athari za moja kwa moja?