Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.
Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.
Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.
145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.
Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.
Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.
Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.
Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.
Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.