China na Xi Jinping vipi tena?

China na Xi Jinping vipi tena?

Acha coment ya kipumbavu mkuu, africa ni nchi maskini hazina potential ya maana kwa china. Potential market ya china ni USA
Ni kweli kuwa kadirio la 438bl usd USA import kutoka China na ku expprt 150bl hii ina maana kuturn mara moja kwa USA ataumia yeye zaidi kwani China ina import zaidi soya, petroleum product wakati aki pokea vifaa vya viwandani, nguo, nk. Je alijopanga kabla ya Trump. Ataathirika tu
 
Duh humu watu wanatuaminisha china ana soko sehemu kubwa Africa,us hawezi mbabaisha😂
Kama USA ana utegemezi wa Almost 500bl dollars na China anategemea just 150 nani mhitaji kwa mwenzake?. Hadi sasa kuwa na gari wa Tz ni anasa kwa sababu imewekewa kodi kubwa wakati huo tunategemea kutoka nje na hatuna viwanda vya kuzalisha magari,
 
Kuna pahala wamesema watacheza na Umeme energy😀😀😀😀Kuna mitaa ya jamaa kule itakuwa giza.
Jana wametangaza kupunguza tarrifs pande hizo ..wamebaki na Wachina.

Mchina shikiria hapo hapo..mpo billion na point na kuna mapori kibao huku😀😀
 
Niumie kwa sababu gani ? washindwe kuumia wakina Xi Jinping huko nije niumie mimi kwa vita visivyo nihusu una matatizo wewe.

Una ushabiki wa kitoto
Kama Trumo lilivyokuwa na utoto mwingi, anacheza kidali poo....pumbavu kabisa hili
Mara hajui vita, sijui milango ya internet iko marekani, upupu mtupu,
Nostalogia jf zamani walikuwa wanaitikia tu
 
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.

Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.

Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.

145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.

Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.

Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.

Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.

Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.

Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.

China raises tariffs to 125%.

 
Bro, Easter hiyo, then watoto wanarudi baada ya hapo, tunakaa na Familia then wanarudi shule...

Do you have any business na China/ USA ya kukuingizia Kipato au is just ample time and interests?

These are world giants, they can mind their own business, and we focus on our problems!

No disrespect, but naona tu kama hulali una deal na watu ambao hawana msaada/impact kwetu.
Wamarekani wa bunyokwa..angekua labda Mo dewji au gsm au bakresa wanapayuka ningewaelewa
 
Tariffs zimeongezwa juzi tu hapa na US to China lakin mnataka China a-respond muda huo huo bila ku calculate another measure to take.

Wabongo mmenzoea kukurupuka so muacheni China acheze chess as she see's fit.
 
Back
Top Bottom