China na Xi Jinping vipi tena?

China na Xi Jinping vipi tena?

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.

Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.

Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.

145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.

Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.

Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.

Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.

Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.

Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.

Mtu badala aandike kwa utalaamu, analeta majungu na kashifa zisizo na maana. Sasa umeandika au unaleta umbea???
 
This two giants are colliding in violent sprial 0f death, and we are living in event horizon
 
Sikutegemea kama USA ataanzisha haya mambo, Mimi naichukulia USA kama taifa namba moja kubwa sana, ina maana wamekosa njia zote za kupambana na mchina na kufikiria hii?
 
Mtu badala aandike kwa utalaamu, analeta majungu na kashifa zisizo na maana. Sasa umeandika au unaleta umbea???

Msamehe bure. Jamaa lenyewe ni Nyani, ni mtunzi mzuri wa mapambio ya kuisifu America na misimamo ya Trump.
 
Screenshot_2025-04-11-12-38-32-895_com.instagram.android.jpg

Nyani Ngabu
 
Nahisi Tanzania tunaweza kuwa top 10 ya watu wenye uelewa mdogo wa mambo Duniani, kila tukio huku linachambuliwa kishabiki.
Shida ni hizi tamaduni za kigeni zilizo badilishwa jina na kuitwa dini zinafanya watu wasiwe na sense of reasoning kabisa.
 
Una kiwango gani cha elimu wewe?
He is the graduate of the muslim religious school commonly known as The Madrassat. Their curriculum is largely influenced by the dogma inherent in their holy scripture thus contributing to their reasoning capacity to be very shallow to say the least.
 
Sikutegemea kama USA ataanzisha haya mambo, Mimi naichukulia USA kama taifa namba moja kubwa sana, ina maana wamekosa njia zote za kupambana na mchina na kufikiria hii?
Njia mbadala unayofikiria wewe ni ipi tofauti na hii au unataka wapigane vita vya silaha.
 
Nilikuwa naangalia muvi moja ya kichina, mama mmoja akawa kasbika lijikoti toka Marekani. Yale yenye sufi. Unajua alisema nini? Anashangaa wanatumia matirio mengi sana kutengenezea nguo. Pale kwenye lijikoti yeye anaweza kutoa makoti mawili 😁
 
I can understand that. Maana at that point haina maana yoyote ile kushindana kuongeza viwango vya asilimia.

Ni utoto flani hivi.

Just waiting to see who will blink first.
image.jpg

Hamna, atakayeshindwa ni yule atakayelipa asilimia kubwa ya tariffs!

Hesabu za shule ya vidudu hizi.
 
Sio tu wote mpaka serikali yote ningekuwa na uwezo ningewahamishia hapa kwa mwaka wajifunze vitu vinafanyaje kaz. Tuache ushabiki ndezi na kulaumu
Hawa viongozi wa Africa ? Ht uwaoeleke wake miaka 5 hakuna Cha maana watafanya
Kwani hawajui nn kinatakiwa ? Wanajisima data tu , mbona Traole huko anapambana ?
 
Kama USA ana utegemezi wa Almost 500bl dollars na China anategemea just 150 nani mhitaji kwa mwenzake?. Hadi sasa kuwa na gari wa Tz ni anasa kwa sababu imewekewa kodi kubwa wakati huo tunategemea kutoka nje na hatuna viwanda vya kuzalisha magari,
Vitu vingi Tu bongo ni km kuwa navyo unaonekana Tajiri kumbe vya kawaida tu
 
Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo China kwenda Marekani sasa ni 145%.

Kiwango cha kodi za bidhaa zitokazo Marekani kwenda China ni 84%.

Naona Mchina kashindwa kwenda sambamba Mnyamwezi 🤣.

Nyie Wachina wa Kiuruwi na Tabata Sanene kujeni hapa mtoe maelezo [visingizio] yenu ni kwa nini mmeshindwa kula sahani moja na Trump.

145% dhidi ya 84% hakuna kabisa uwiano wala ukaribu wowote ule.

Mnazidi kuthibitisha kuwa ngoma nzito nzito hamziwezi. Mnachoweza ni ujanja ujanja na ulaghai tu.

Hata bidhaa zinazouzwa Temu, kwa mfano, ubora wake ni wa mashaka sana.

Nunua nguo toka Temu halafu ifue uone itavyobadilika 🤣.

Sijui kwa nini tu Wachina wako hivyo.

Ndo maana mimi siwawmini kabisa watu wanavyodai kuwa jeshi la China sasa hivi ndo jeshi la pili kwa ubora duniani.
Imetuumiza sana hasa sisi wachina wa Tandale kwa Tumbo, Manzese kwa mfuga Mbwa, Vigwaza, Sanfura chole,Kimanzichana na Mburahati

Screenshot_2025-04-11-21-38-41-356_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2025-04-11-21-38-26-682_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2025-04-11-21-38-56-891_com.android.chrome.jpg
 
Atakayeathirika hapa ni USA pakubwa, China analo soko la bidhaa zake Afrika na Asia, wakati USA anaarithiri watu wake mwenyewe. Juzi nimesikiliza BBC raia mmoja wa USA fundi magari anasema walikiwa wanategenea spare part from China na sasa havipo japo alisema ana amini vitakuja japo kwa ongezeka la dola 70.
Dogo hujui. Marekani hategemei china. China soko lake kuu ni Marekani kama hukuambiwa.
Screenshot_2025-04-11-21-38-56-891_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2025-04-11-21-38-41-356_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2025-04-11-21-38-26-682_com.android.chrome.jpg
 
Hawa viongozi wa Africa ? Ht uwaoeleke wake miaka 5 hakuna Cha maana watafanya
Kwani hawajui nn kinatakiwa ? Wanajisima data tu , mbona Traole huko anapambana ?
Viongoz ni zao la jamii chief. So sema sisi waafrika. Maana ikiwa wanatenda tofauti na sisi tungeonyesha kutokukubaliana nao
 
Vitu vingi Tu bongo ni km kuwa navyo unaonekana Tajiri kumbe vya kawaida tu
Tukiiwekea Japan ushuru wa magari kwa 300% nani anapata athari zaidi,? Yeye anapata kioato kupitia ununuzi wetu au na sisi ambao hatuna ootion nyingine?
 
Back
Top Bottom