China: Bwawa kubwa namba 2 duniani karibu kukamilika...

Mbona tuliambiwa umeme wa maji umepitwa na wakat jmn... Ukiwasikiliza watanzania hutasonga
 
bwawa linaendelea kujengwa kwa kasi ile ile, tofauti tu ni kuwa kwa sasa kazi haiendi kwa makamera meengi ya kila siku.........mwizi anakimbizwa kimya kimya. Nyie endeleeni kuzusha na muda utawaumbua!
 
bwawa linaendelea kujengwa kwa kasi ile ile, tofauti tu ni kuwa kwa sasa kazi have died kwa makamera meengi ya kila siku.........mwizi anakimbizwa kimya kimya. Nyie endeleeni kuzusha na muda utawaumbua!
Crane ishafika
 
Back
Top Bottom