Chief Mwasapile ; viongozi wa Tanzania kuutangazia umma kwamba watanzania ni wezi nikuvuruga mahusiano ya watu wetu ndani na nje ya nchi

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,124
Moja ya mwasisi wa Tanu na mwana CCM huko mkoani Mbeya amelaani kitendo cha viongozi wa CCM kutumia kodi za wananchi kuzunguka nchini na nje wakisema wanakodisha bandari kwa sababu watanzania ni wezi. Amewakumbusha viongozi wetu kwamba wakati wa mwalimu Nyerere tulikuwa hatukaguliwi huko nje ya nchi ila kwa kauli hizi maana yake tunafanya kila Mtanzania huko Duniani asiheshimike akihisiwa ni mwizi.

Kwa upande mwingine ameeleza kwamba vita kubwa Duniani zinatokana na ardhi pamoja na uchumi na anatokea mfano wa Israel na Palestin; ameeleza pia kwamba tulikwenda vitani Uganda kwa sababu ya ardhi hivyo tuilonde ardhi yetu sana.
Mzee huyu amewalaani viongozi wa CCM wanaotengeneza mazingira ya wizi na kisha kuwatumia polisi wapambane na wote wanaopinga wizi ikiwemo kuwatumia polisi kuzima mjadala wa bandari. Polisi ni watoto wetu tusiwagombanishe na jamii.

Swali, je wana CCM wenzake watamwelewa?
 
Acha Ujinga huyu anaitwa Mwambipile mbona unafanya upumbavu kwenye majina ya watu na unapotosha.
 
Moja ya mwasisi wa Tanu na mwana CCM huko mkoani Mbeya amelaani kitendo cha viongozi wa CCM kutumia kodi za wananchi kuzunguka nchini na nje wakisema wanakodisha bandari kwa sababu watanzania ni wezi. Amewakumbusha viongozi wetu kwamba wakati wa mwalimu Nyerere tulikuwa hatukaguliwi huko nje ya nchi ila kwa kauli hizi maana yake tunafanya kila Mtanzania huko Duniani asiheshimike akihisiwa ni mwizi.

Kwa upande mwingine ameeleza kwamba vita kubwa Duniani zinatokana na ardhi pamoja na uchumi na anatokea mfano wa Israel na Palestin; ameeleza pia kwamba tulikwenda vitani Uganda kwa sababu ya ardhi hivyo tuilonde ardhi yetu sana.
Mzee huyu amewalaani viongozi wa CCM wanaotengeneza mazingira ya wizi na kisha kuwatumia polisi wapambane na wote wanaopinga wizi ikiwemo kuwatumia polisi kuzima mjadala wa bandari. Polisi ni watoto wetu tusiwagombanishe na jamii.

Swali, je wana CCM wenzake watamwelewa?
Wamelewa rushwa hawa,kwa hiyo wanabwata lolote,ili kuweza kuhalalisha kuendelea kubaki madarakani.Ukweli lakini ni kwamba hii ni dalili ya watu waliofikia kilele cha uovu.CCM imefikia kilele cha uovu,hawana tena uwezo wa kujua jema na baya.Kuitangazia Dunia kwamba Watanzania ni wezi ndio mwisho wa kufikiri kwao.Wanasahau kwamba ukimnyoshea mwenzio kidole ,vidole vingine vinne vinakuelekea wewe mwenyewe.

Mwisho niseme hivi,rushwa ni mbaya sana,kwanza inapofusha,halafu ukishaingia kwenye dhambi ya rushwa huchomoki,unabaki mla rushwa milele.CCM hawataacha rushwa,dawa yao ni kuwatoa madarakani kwa nguvu.Watanzania wasipofanya hivyo,watabaki watumwa na maskini milele.
 
Huyu mama anafikiri kutuuza kwa waarabu kutamfanya yeye awe salama na hawa wanaotetea sisi kurudishwa utumwani mchana kweupe eti watakimbilia ugaibuni. Kwanza watadhalilishwa kupita kiasi na hao waarabu. Sisi wananchi tutaporwa mpaka Figo na masheikh watakuwa ndio vimada wa waarabu wataf*la mpaka mtashangaa nyie endelee kukaribisha majoka hapa.
Surambaya Tulia atakuwa kwenye cage ya maonyesho ya wanyama pale makumbusho.
 
Moja ya mwasisi wa Tanu na mwana CCM huko mkoani Mbeya amelaani kitendo cha viongozi wa CCM kutumia kodi za wananchi kuzunguka nchini na nje wakisema wanakodisha bandari kwa sababu watanzania ni wezi. Amewakumbusha viongozi wetu kwamba wakati wa mwalimu Nyerere tulikuwa hatukaguliwi huko nje ya nchi ila kwa kauli hizi maana yake tunafanya kila Mtanzania huko Duniani asiheshimike akihisiwa ni mwizi.

Kwa upande mwingine ameeleza kwamba vita kubwa Duniani zinatokana na ardhi pamoja na uchumi na anatokea mfano wa Israel na Palestin; ameeleza pia kwamba tulikwenda vitani Uganda kwa sababu ya ardhi hivyo tuilonde ardhi yetu sana.
Mzee huyu amewalaani viongozi wa CCM wanaotengeneza mazingira ya wizi na kisha kuwatumia polisi wapambane na wote wanaopinga wizi ikiwemo kuwatumia polisi kuzima mjadala wa bandari. Polisi ni watoto wetu tusiwagombanishe na jamii.

Swali, je wana CCM wenzake watamwelewa?
Aisee, huko Mbeya mbona kwa moto sana?
 
Back
Top Bottom