Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
hongera zake,naona kakua sasa!
Yeah, and she knows how to use it!!
hongera zake,naona kakua sasa!
Tv=diamond,mapazia=mwinyi,sabufa=chazbaba,kitandana godoro=marehem, kabati na vyombo yake=pedeshe,kapet=chada.
Endelea na ww kwa unaowafaham
But in the end si ni ya kwake? Kwa raha zake...
Amejitahidi.. its a beautiful and amazing crib kwa kweli![/QUO
Hatuna hakika bado kama ni yake kabla hatujapongeza,isijekuwa alikuwa anigizia pale,,juzi kavishwa pete jukwaani tena watu wakadhani real baadae wanajulishwa ni ktk kamilisha filamu yake, Wasanii sio watu!
Wema umejitahidi sana hata kama umevipata hivyo vitu kwa ugumu.
Hata kama amevipata isivyo halali KWELI ????Sir. Burn ingia kwa millard ayo blog uone vizuri. hongera wema, hata kama umevipata isivyo halali!
Tv=diamond,mapazia=mwinyi,sabufa=chazbaba,kitandana godoro=marehem, kabati na vyombo yake=pedeshe,kapet=chada.
Endelea na ww kwa unaowafaham
Wema sepetu akiwa ndani ya mjengo wake wa nguvu maeneo ya K'nyama. Anadai ni yake amenunua, mapambo tu yanagharimu zaidi ya milioni 50 za kitanzania. usikose kusikiliza kipindi cha take one clouds tv kwa mapana na marefu ya habari hii.
View attachment 56065View attachment 56066View attachment 56067View attachment 56068View attachment 56069View attachment 56070View attachment 56071View attachment 56072Hongera bi dada, haijalishi u meupataje lakin kikubwa na kustirika. Endelea kupata raha mwaya dunia yenyewe hii na maisha yenyewe mafupi.
Sasa waliokuwa wanasema oohh matanuzi wakati hana hata nyumba wafunge midomo. binti anajiandaa kufungua bonge la kampuni....... mie nakuombea tu heri wema wangu, usijensahau kwenye ufalme wako.
Tv=diamond,mapazia=mwinyi,sabufa=chazbaba,kitandana godoro=marehem, kabati na vyombo yake=pedeshe,kapet=chada.
Endelea na ww kwa unaowafaham
Jibaba limemnunulia. Ama kweli K**a ni mtaji mzuri.
But in the end si ni ya kwake? Kwa raha zake...
Amejitahidi.. its a beautiful and amazing crib kwa kweli!
Sijui kwanini huwa nakuhisi wewe ni ZamaradiWema sepetu akiwa ndani ya mjengo wake wa nguvu maeneo ya K'nyama. Anadai ni yake amenunua, mapambo tu yanagharimu zaidi ya milioni 50 za kitanzania. usikose kusikiliza kipindi cha take one clouds tv kwa mapana na marefu ya habari hii.
View attachment 56065View attachment 56066View attachment 56067View attachment 56068View attachment 56069View attachment 56070View attachment 56071View attachment 56072Hongera bi dada, haijalishi u meupataje lakin kikubwa na kustirika. Endelea kupata raha mwaya dunia yenyewe hii na maisha yenyewe mafupi.
Sasa waliokuwa wanasema oohh matanuzi wakati hana hata nyumba wafunge midomo. binti anajiandaa kufungua bonge la kampuni....... mie nakuombea tu heri wema wangu, usijensahau kwenye ufalme wako.