cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
dee dee haya kipi kinachokufanya ushangae! kwani mafisadi wangapi wamejaa kwenye chama cha machangu wanakula haramu na kujilimbikizia mali kwa njia zisizo halali! ila akifanya wema unatoa macho! muacheni ale vyake vya haramu, tafuta na wewe vyako vya haramu! hongera mwaya wema!Hata kama amevipata isivyo halali KWELI ????
Last edited by a moderator: