Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 5,202
- 7,028
Ana enjoy kazi yake mkuu! Kwake kazi Ni sehemu ya burudani.Kwa mtindo huo siku nzima si analala hoi?
Ana enjoy kazi yake mkuu! Kwake kazi Ni sehemu ya burudani.Kwa mtindo huo siku nzima si analala hoi?
utendaji kazi wetu Tanzania ni wa ajabu sana na huu msingi uko tokea mashuleni
yule mtu ambaye alikuwa yeye anajibu maswali sana tulikuwa tunamuita msongo mara tunamuita kiherehere tabia hii hii tumekuja nayo makazini mtu akifanya kazi yake kwa umakini, umaridadi akiwa anaifanya kwa kuipenda kazi yake sie tunamuita anataka sifa mara oooh anataka cheo... ndio maana vita ya kuwapiku wakenya kwa kuongoza kiuchumi East Africa ni kubwa sana ... kwa aina ya askari (wafanyakazi/watanzania) tuliokuwa nao
Hizo raba alizovaa ni uniform ya polisi?
Ni violation ya privacy rights tena kwa nchi za wenzetu unaweza kua penalized kifungo kikubwa. Cyber law is bull.Hivi kupiga piga picha watu bila idhini yao inaruhusiwa??
Upo sahihi mkuu hana shida ya cheo huyo ni passion tu.kila la kheri traficHivi ndivyo inavyokuwa unapofanya kazi ambayo ni chaguo lako.......Unaenjoy tu haijarishi iwe mvua iwe jua.
utendaji kazi wetu Tanzania ni wa ajabu sana na huu msingi uko tokea mashuleni
yule mtu ambaye alikuwa yeye anajibu maswali sana tulikuwa tunamuita msongo mara tunamuita kiherehere tabia hii hii tumekuja nayo makazini mtu akifanya kazi yake kwa umakini, umaridadi akiwa anaifanya kwa kuipenda kazi yake sie tunamuita anataka sifa mara oooh anataka cheo... ndio maana vita ya kuwapiku wakenya kwa kuongoza kiuchumi East Africa ni kubwa sana ... kwa aina ya askari (wafanyakazi/watanzania) tuliokuwa nao
hizo ni buti wanavaa kipindi cha mvua... N. b hauishi Tanzania?
hii ni comedy,hebu shuka down kwenye viatu ndio utajua,