Kuna haja gani ya kupost picha zaid ya mbili wakat ni picha mbili tu
Hahahahahahaha mkuu umeua kwamba anaaenjoy kwa sababu kaichagua mwenyeweHivi ndivyo inavyokuwa unapofanya kazi ambayo ni chaguo lako.......Unaenjoy tu haijarishi iwe mvua iwe jua.
Hivi ndivyo inavyokuwa unapofanya kazi ambayo ni chaguo lako.......Unaenjoy tu haijarishi iwe mvua iwe jua.
Ndio ni buti
kama watu wenyewe wapo kwenye shughuli za maigizo ni rukhsa, maana ndo dhamira yako watu wamuone na kumpiga pichaHivi kupiga piga picha watu bila idhini yao inaruhusiwa??