Chemsha ubongo tafadhali

Chemsha ubongo tafadhali

GUUD umepata mkuu
Nirudie kwa kusema ukiangalia hapo vitu vinavyolingana na kufana vina thamani moja I.e chane za mkasi , mzinga nk
Lakini vichwa havilingani ndugu
Kumbuka
Swali hili in case of proving tunatumia picha kuprove MAJIBU
Na sio njia mkuu

Tulitofautisha wingi wa chane kwa numeral ...! Pia hata ukubwa wa picha kwa numeral

HILI NI SWALI LA PICHA
 
MAJIBU SAHIHI NI HAYA

hapo ukiangalia kuna
Kuna mistari minne
A....Msitari wa kwanza una picha ya mikasi na kila mkasi una chane tatu hivyo ni
3+3+3= 9
B.. mstari unaofata una picha ya mizinga miwili na mkasi mmoja wenye chane tatu hivyo kwa kua mizinga inafanana kwa kila kitu kila mmoja una thamani ya 5 ili hesabu ya 13 ikamilike
3+5+5= 13
C... Mstari wa tatu ambao wengi wenu mlishindwa kujituma kimawazo ipasavyo
Huu una picha ya mzinga ambao nimesema thamani yake 5 na picha ya vichwa viwili kimoja kikubwa kingine kidogo ...! Ukiangalia kwa umakini wa hali ya juu kichwa kidogo kinaingia Mara moja na nusu (1.5) ili kilingane na kikubwa hivyo vinatakiwa vichwa vidogo vitatu(3) ndipo upate kikubwa kimoja ..! Kumbe kichwa kikubwa kina thamani ya (3) na kidogo kina thamani ya moja(1) jumla NNE (4)
Ikawa 5- 4= 1. HAPA NDIPO NILICHINJA WENGI ....!

D... Picha ya mwisho ni kichwa kikubwa thamani ni 3. Mzinga thamani 5. Na mkasi WENYE CHANE 4 . Kwa kua chane zinaendana na thamani
Ikawa 3+ 5× 4 = 23 HILI NDO JIBU SAHIHI ...!

KWA HIYO ANS IS. 23


Asilimia 98% yenu mmekosa hili swali ..!

Hakuna kitu kama hicho hiyo 1.5 ya kichwa umeitoa kichwani? hii hesabu ni algebra ya kawaida na jibu sahihi ni 22
 
Hakuna kitu kama hicho hiyo 1.5 ya kichwa umeitoa kichwani? hii hesabu ni algebra ya kawaida na jibu sahihi ni 22
We kweli unajua mathematics,

Na ikiwa kwafanya assumption, namimi ningekuja na assumption yangu kuwa kichwa kidogo1.5 nakikubwa2.5.
Kwahiyo ingekuwa hivi
2.5(+5*4)
2.5+20
Jibu 22.5

But, hesab hazitak hivyo, bali zataka uonyeshe 1.5na2.5 zimetoka wapi.

Kwahiyo jibu sahihi ni22
 
c2690d5f9f51bce1e339363fb6c938fc.jpg
=4+5×3
=4+15
=19
 
Let "a" be Mkasi
"b" be Kigari and "c" kimdoli
a+a+a=9
3a=9
gawanya kwa 3 pande zote
3a/3=9/3
a=3
Next
a+b+b=13
a+2b=13
but a=3
Therefore
3+2b=13
2b=13-3
2b=10
gawanya kwa 2 pande zote
2b/2-10/2
b=5
Next
b-c=1
but b=5
5-c=1
c=5-1
c=4
finaly
b+c*a
i.e
5+4*3=17
therefore the answer is 17
 
Let "a" be Mkasi
"b" be Kigari and "c" kimdoli
a+a+a=9
3a=9
gawanya kwa 3 pande zote
3a/3=9/3
a=3
Next
a+b+b=13
a+2b=13
but a=3
Therefore
3+2b=13
2b=13-3
2b=10
gawanya kwa 2 pande zote
2b/2-10/2
b=5
Next
b-c=1
but b=5
5-c=1
c=5-1
c=4
finaly
b+c*a
i.e
5+4*3=17
therefore the answer is 17
Aliyetunga swali anataka kuona kama watu hawajui hesabu ila nadhani tatzo lipo kwa mtunga swali.
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Let "a" be Mkasi
"b" be Kigari and "c" kimdoli
a+a+a=9
3a=9
gawanya kwa 3 pande zote
3a/3=9/3
a=3
Next
a+b+b=13
a+2b=13
but a=3
Therefore
3+2b=13
2b=13-3
2b=10
gawanya kwa 2 pande zote
2b/2-10/2
b=5
Next
b-c=1
but b=5
5-c=1
c=5-1
c=4
finaly
b+c*a
i.e
5+4*3=17
therefore the answer is 17
Big wrong
 
19 na ukiniambia wrong nabadili ID
Itakua vema sana kama utabadili hiyo ID..!
Kama HESABU ndogo kama hii ya BODMAS inakupiga CHENGA hauna budi kubadili hiyo ID haraka iwezekanavyo..!
Bila kuleta KASUMBA ya LUGHA ya PICHA...
Ukitumia BODMAS jibu ni 22..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom