Ndelyaukiwa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 267
- 348
Jibu ni 17
Lazma ufuate kanuni ya magazijuto so ni
2+(5*3)=17
Jibu ni 17
Lazma ufuate kanuni ya magazijuto so ni
2+(5*3)=17
Jibu ni 17
Lazma ufuate kanuni ya magazijuto so ni
2+(5*3)=17
Kwenda zako mbna yaliyo rght hujib, jibu hapo ni 17 hakuna ubishNyie watanzania bwana
Jibu bas au tukuchagulie mji?? Hamia Dodoma na srikalSi kweli yaani hata haliendani na jibu
Hapo sawa....Jibu ni 17 yaani
2+5×3=17

Pamoja na kuita rahisi umekosaJibu ni 12,... ni rahisi saana,... Umechukua kwenye game za watoto nn,?

Hajui hesabu huyo,na ili kuonyesha hajui hili swali hana uwezo wa kulijibu.Napenda sana chemsha bongo za namna hii. Hapo kwenye rangi nyekundu, umejuaje huo ukubwa kwamba ni mara moja na nusu japo ni kweli kichwa kimoja ni kikubwa kuliko kingine? Kwanini kisiwe kikubwa mara 2 au 2 na 1/2? Na pale mwanzo onyesha basi hiyo 3 umeipataje!
Umejibu kinadhalia lakini sio uhalisia.Mbona nilishajibu