Acha maswali ya kitoto ww! Sh 100 ipi unayoulizia? Kama wale umewarudishia 100 kila mmoja basi wao watadhan wamekuchangia 4900kila mmoja, lakin kumbuka ile 100 ambayo umechakachua ipo ktk hizo 4900 za kila mmoja! Kwa maana hyo ukiito hiyo 100 ina maana kila mmoja atakuwa amechanga 4850! Sasa chukua hiyo 4850x2+200(100 ulizowarudishia)+100 uliyochukua! Kuna haja ya kuweka jibu...?