ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 4,969
- 6,963
Kwa kuwa mmenipa mji Arusha nitawajibia hili swali lililowagonga,
Kama ulikimbia bookeeping shauri yako, equation ina balance kama ifuatavyo;
On the asset side kuna cash on hand sh. 100 na nguo uliyonunua (stock) sh. 9,700 total sh. 9,800.
On the liabilities side kuna deni la dada sh. 4,900 na deni la kaka sh. 4,900 jumla ni sh. 9,800.
So mizania yetu imebalance, na hakuna mia inayopungua au kuzidi sehemu.
Na mna bahati mmenipa mji Arusha mngenipa miji kama singida,lindi,ruvuma,kigoma,musoma msingepata kitu hapa.teh teh!
Bushbaby;Karibu Arusha kaka, ila kuna kamvua na baridi balaa!!
Kama ulikimbia bookeeping shauri yako, equation ina balance kama ifuatavyo;
On the asset side kuna cash on hand sh. 100 na nguo uliyonunua (stock) sh. 9,700 total sh. 9,800.
On the liabilities side kuna deni la dada sh. 4,900 na deni la kaka sh. 4,900 jumla ni sh. 9,800.
So mizania yetu imebalance, na hakuna mia inayopungua au kuzidi sehemu.
Na mna bahati mmenipa mji Arusha mngenipa miji kama singida,lindi,ruvuma,kigoma,musoma msingepata kitu hapa.teh teh!
Bushbaby;Karibu Arusha kaka, ila kuna kamvua na baridi balaa!!