Chemistry ya wanawake inanichanganya sana jamani

Chemistry ya wanawake inanichanganya sana jamani

Babu huyu ni kijana wa chuo aliwahi kuuliza kwa nini wanawake wanapenda sana wanaume waliosoma udsm lol
mwache tu atengeneze course work kwa sasa maana kitabu kigumu asije kusapu bureee
Akigraduate tutampa mwongozo wa kumwelewa mwanamke
"how to understand a woman" volume 1 hadi 10


Ahsante kajukuu. Nakupa offer ya hadithi za babu kuanzia saa 3 hadi 6 usiku wa leo.

Waweza kuchagua pia kupata hizo story kutoka kwa Kaizer au Asprin.

....hapa sijampigia mtu pande.....lol!!
 
Last edited by a moderator:
Hao ndio dada wasichana wa miaka hii bwana. Lazima uwe na hatua kadhaa mbele ili uwajue walivyo.
Sasa hivi wanakulaumu, lakini pengine ungeendelea nao wewe ndio ungekuwa unawalaumu sasa. Yote yanawezekana ktk mahusiano.
 
Ahsante kajukuu. Nakupa offer ya hadithi za babu kuanzia saa 3 hadi 6 usiku wa leo.

Waweza kuchagua pia kupata hizo story kutoka kwa Kaizer au Asprin.

....hapa sijampigia mtu pande.....lol!!
Ahsante babu ningependa mnihadithie kwanini nahodha anakaa nyuma ya chombo cha usafiri kwanini asikae mbele na abiria wakae nyuma, dereva, pilot na wengine wanakaa mbele kwanini nahodha nyuma?
Lol za kale dhahabu nangoja hadithi kutoka kwako na Asprin, Kaizer atakua bize na kuvunja mifupa najua
 
Last edited by a moderator:
Hao ndio dada wasichana wa miaka hii bwana. Lazima uwe na hatua kadhaa mbele ili uwajue walivyo.
Sasa hivi wanakulaumu, lakini pengine ungeendelea nao wewe ndio ungekuwa unawalaumu sasa. Yote yanawezekana ktk mahusiano.

mkuu,mimi kwa wkt ule niliona kama nimefanya jambo jema,maana watu nimewatongoza then nikaona kama hawanitaki,nkasepa zangu na maisha yangu,leo lawama kwangu.kwa kweli inahitaji kuwa na Phd kuielewa chemistry ya wanawake!
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Kumbe TABIA Kwa KiEnglish Ni CHEMISTRY.Sikuwah Kujua..
Basi Nitawaambia Wadogo Zangu Na Marafiki Zangu Waache CHEMISTRY Mbaya Haswa Leo Jumapili.

hyo ni lugha ya jf ili kunogesha mada.
 
mkuu,mimi kwa wkt ule niliona kama nimefanya jambo jema,maana watu nimewatongoza then nikaona kama hawanitaki,nkasepa zangu na maisha yangu,leo lawama kwangu.kwa kweli inahitaji kuwa na Phd kuielewa chemistry ya wanawake!

hata wenye PhD wameshindwa kuwaelewa hawa viumbe. Kimsingi masuala ya mahusiano hayana kanuni inayotambulika.
 
Kuna kamchepuko kangu flani ka miaka mingi tu,kamenitembelea gheto,sasa kama mjuavyo hizi nyumba za kisasa ambazo choo na bafu ni ndani kwa ndani,me asubuh hii nilikua kwenye sinki la chooni napiga mswaki,mara ghafla nkaona manzi ameingia chooni,kachuchumaa nkadhani anakojoa tu,kumbe mwenzangu anakata gogo{kunya} bila hata kunionea aibu..nikajiuliza hivi ni kukosa mshipa wa aibu au ndo uzungu mwingi huu?

Na kweli chemistry zao huzielewi kama huyu alikata gogo mbele yako
 
Ahsante babu ningependa mnihadithie kwanini nahodha anakaa nyuma ya chombo cha usafiri kwanini asikae mbele na abiria wakae nyuma, dereva, pilot na wengine wanakaa mbele kwanini nahodha nyuma?
Lol za kale dhahabu nangoja hadithi kutoka kwako na Asprin, Kaizer atakua bize na kuvunja mifupa najua

Nahodha hukaa nyuma ili kuangalia usawa ili dau lisienda mrama
Msome Dkt.Muhammed Seif Khatib katika shairi la NAHODHA katika kitabu chake WASAKATONGE
CC: #mkoroshokigoli
 
Last edited by a moderator:
Shule zimefungwa nini? Hizi ni mada za kuleta humy kweli?
 
Babu huyu ni kijana wa chuo aliwahi kuuliza kwa nini wanawake wanapenda sana wanaume waliosoma udsm lol
mwache tu atengeneze course work kwa sasa maana kitabu kigumu asije kusapu bureee
Akigraduate tutampa mwongozo wa kumwelewa mwanamke
"how to understand a woman" volume 1 hadi 10

Ndugu mwalimu, hebu niambie yule mbabu wangu umemuwacha wapi?
 
Sawa. Kwa vile unajiandaa kupiga kura kwa mara ya kwanza (Virgin voter) tunakupa benefit of doubt kwa kile ulichouliza. Ila this time baada ya awamu ya tano utakuwa GT wa MMU.

Hatuwezi kukulaumu na ndiyo maana nimewasihi wajukuu wangu watiifu wakusaidie. Halafu wale ambao sina imani na menu zao sijawaita.

Cc atoto, Evelyn Salt, BADILI TABIA

Na Mzee mzima aliyekesha na wajukuu, Kaizer ukuje tuanze Kazi ya kudance na wajukuu.

Babu huyu mtoto bwana anahamu ya kufeli tu, maana if you study women you 'll never graduate, ngoja akue kue kidogo angalau apate kamwanga tu juu yetu.
 
Last edited by a moderator:
Babu huyu ni kijana wa chuo aliwahi kuuliza kwa nini wanawake wanapenda sana wanaume waliosoma udsm lol
mwache tu atengeneze course work kwa sasa maana kitabu kigumu asije kusapu bureee
Akigraduate tutampa mwongozo wa kumwelewa mwanamke
"how to understand a woman" volume 1 hadi 10

watu mna kumbukumbu lol
 
inahusiana nini na swali langu?

lol kumbe hata kujiongeza tatizo eh......?........ana maanisha ungewapeleka kwako ndo ungepata jibu km wamekubali au wamekataaa...........sasa tatzo wewe ulitaka wakubali ndo uwapeleke lodge.............
 
Back
Top Bottom