Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,568
- 6,505
Ibak hvyo au apigwe itapendeza zaidChelsea kachomoa
Ibak hvyo au apigwe itapendeza zaidChelsea kachomoa
Ngapi ngapi matokeo huko!!??Wakali wa London, Chelsea leo wanaanza likizo baada ya likizo ya Kombe la Dunia.
Ni mchezo wa derby ya London ya Magharibi, Fulham Vs Chelsea.
Baada ya kipindi cha muda mrefu Chelsea kupitia magumu kwa kutokupata matokeo mazuri leo Fulham atakufa goli 3.
Wale mashabiki wa timu nyingine mlioanza kuicheka Chelsea kaeni chonjo, its time for Potter Ball
Yaan match ya kwanza tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃdahhh mkosi gani huuJao Felix kala umeme ๐๐
1-1Ngapi ngapi matokeo huko!!??
Chelsea wasipomfukuza huyu kocha watapigwa sanaYaan match ya kwanza tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃdahhh mkosi gani huu
Hana siku nyingiii hapo, bora angebaki BrightonChelsea wasipomfukuza huyu kocha watapigwa sana
Chelsea hawakupaswa kumfukuza tuchelHana siku nyingiii hapo, bora angebaki Brighton
Washapigwa goli la ushindi, mikeka leo imechanika mingi sanaMgongwe tu hakuna namna
ImeshindikanaMwana anatuzoom tu anangojea comeback aje atucheke
Kwahiyo ndo mmeanza ligi rasmi au mmeanzia pale mlipoishia?๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Wakali wa London, Chelsea leo wanaanza likizo baada ya likizo ya Kombe la Dunia.
Ni mchezo wa derby ya London ya Magharibi, Fulham Vs Chelsea.
Baada ya kipindi cha muda mrefu Chelsea kupitia magumu kwa kutokupata matokeo mazuri leo Fulham atakufa goli 3.
Wale mashabiki wa timu nyingine mlioanza kuicheka Chelsea kaeni chonjo, it's time for Potter Ball.
Ngoja kwanza nipumzikeKwahiyo ndo mmeanza ligi rasmi au mmeanzia pale mlipoishia?๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Hilo trelaa tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃDuuh nimechoka mimi
HatariWataalam tulijua tuView attachment 2478723