ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,051
- 49,735
Tanzania imepoteza kwa mabao 13-12 dhidi ya Wenyeji, Afrika Kusini lakini itaungana na Afrika Kusini kwenda kushiriki mashindano ya Kombe la Dunia ya mchezo huo yatakayofanyika nchini Uingereza Februari mwakani.
Kitenge TV
===
Sekta ya michezo na Burudani inazidi kufanya vyema na mara hii ni Tanzania kufuzu Kombe la Dunia mchezo wa.Pool table kama run-up sanjali na Afrika Kusini.