RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,419
- 135,062
Kwani Arsenal wamejenga liini Emirates, kwa nini miaka yote walikuwa na Highbury tu,
kutojenga uwanja mkubwa aimaanishi hauna washabiki , mambo ya pesa pia yanahusika sana, Arsenal walijenga baada ya kupata pesa sio baada ya kupata washabiki
na Chelsea watajenga baada ya kuwa na Pesa za kufanya hivyo na wala sio issue ya kuwa na washabiki
kwani pesa ya timu ndio inajaza uwanja? basi man city wangekuwa na capacity ya 100,000....arsenal walijenga baada ya maombi ya tiketi kila season kuzidi uwanja wao wa zamani...chelsea tangu amekuja abramovich hela ipo ila wanajua wakijenga 60k hautajaa labda kiingilio kiwe bure....ngoja waje wakereketwa hapa na siku hizi wana maneno makali!!! khe khe khe khe khe khe