Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kikosi cha Chelsea kikubwa sana na pia lazima wachezaji wengine waondoke na wengine waje.
Sasa we ndo umeongea nini???? Waondoke then waje wengine...so means kitaendelea kuwa kikubwa!! Huo ukubwa sijui ni ukubwa gani unaongelea, hembu fafanua kwanza, then tuendelee
 
van persie alifukuzwa?
nasri alifukuzwa?
fabregas alifukuzwa?
edu alifukuzwa?
vieira alifukuzwa?
thierry henry alifukuzwa?
tonny adams alifukuzwa?



Huenda nabishana na mtu asiye na uelewa!! Kwani Mata alifukuzwa ama aliondoka mwenyewe? Naomba Jibu!! Kwanini sijasema Kalou alifukuzwa? Kwanini sijasema Ballack alifukuzwa? KWanini sijasema Luiz alifukuzwa? Nipe majibu
 
Ukubwa wake ni kuwa wapo wachezaji wanaocheza kwa mkopo timu nyingi. Hivyo kuondoka kwa kina Lampard kutasababisha hao waliokwenye mkopo kuweza pata nafasi. Ndio maana ukiangalia tumeuza na kurelease wachezaji wengi, Bertrand, Cole, Lampard, Luiz. Wanne wamepungua
 
Mkuu karibu sana hapa Jukwaani, halafu nitumie tena namba zako maana smu nilipoteza.
Back: Najua #Fans Club are very strong!! lakini nashangaa agosti 8 halijui hilo(hajasema wazi) na hajui kwamba fans ndio walifanya Lampad aendelee kuexist mpaka leo.
Abro sio mbaya ila alichukizwa na tabia za Lampad na Drogba kutokana na ile saga za msimu ule, sera za Scolari kwamba haangalii majina makubwa au Legends wa Chelsea pale darajani akawa akawa anawaweka benchi Some Legends...!! Kilichofuata nadhani kila mmoja anakijua.

Nipe kifungu cha Chelsea kinachoongelea kuhusu mikataba after 30 yrs plz. Nakumbuka Drogba alikuwa na miaka 33 alipowapa ubingwa wa UEFA 2012, na alikuwa kwenye form moja ya hatareeee sana.
Halafu nipe sababu kwanini mmemsajiri ETO'O? alipewa contract ya muda gani!! Pia naomba kujua umri wa Terry!!

Mark Schwarzer ana miaka mingapi...Hahahaaa Nyie bhana


Mkuu mi Nipo ktk hii thread sn tu! Lazima nisome nini kinaendelea humu ata km sitochangia kitu!

Nitakupa hizo no Mkuu wala usijali!

Bado unarudi mule mule tu! Nikianza na nafasi ya makipa! Makipa wana nafasi ya kuendelea kucheza ata wakiwa na umri Wa miaka 40. Hii Ni kutokana na nafasi Yao!

Vilevile Unataka kulazimisha agosti 8 akubali maoni yako ambayo yako na mtizamo km wakulaumu Au km kuna mabaya yatatukuta kutokana na kuondoka kwa Hawa watu kitu ambacho agosti 8 hakubali Kwasababu anaelewa sera za timu na malengo ya timu!

Drogba aliamua yeye tu mwenyewe kuondoka kwa kujitunzia Heshima km alivyofanya Zidane!
 
Last edited by a moderator:
Arsenal wamejaa makinda wenye uwezo wa hali ya JUU SANA na ndo wamepata Kikombe cha FA 2014...Flamini ndo jibu lake. Welcome


Ah haa Kumbe point yako kubwa Ni kombe la fa sio?

Teh Teh Teh
 
Mkuu mi Nipo ktk hii thread sn tu! Lazima nisome nini kinaendelea humu ata km sitochangia kitu!

Nitakupa hizo no Mkuu wala usijali!

Bado unarudi mule mule tu! Nikianza na nafasi ya makipa! Makipa wana nafasi ya kuendelea kucheza ata wakiwa na umri Wa miaka 40. Hii Ni kutokana na nafasi Yao!

Vilevile Unataka kulazimisha agosti 8 akubali maoni yako ambayo yako na mtizamo km wakulaumu Au km kuna mabaya yatatukuta kutokana na kuondoka kwa Hawa watu kitu ambacho agosti 8 hakubali Kwasababu anaelewa sera za timu na malengo ya timu!

Drogba aliamua yeye tu mwenyewe kuondoka kwa kujitunzia Heshima km alivyofanya Zidane!
Unakimbia maswali ya msingi mkuu!! Nilivyokutajia huyo kipa unaanza kugwaya na kucheza na maneno ilhali ukiisahau kauli yako kwamba sera za chelsea kwenye mikataba after 30yrs...mbona hukuspecify kuhusu makipa mpaka mi nilipokupa hoja? Kwani kipa sio mchezaji?Mbona hujajibu maswali yangu muhimu? Nipe quote ya vifungu kisheria vya wachezaji na mikataba yao hapo darajani..!! Hope itaspecify kama makipa wamo au hawamo!!

Welcome.
 
Ukubwa wake ni kuwa wapo wachezaji wanaocheza kwa mkopo timu nyingi. Hivyo kuondoka kwa kina Lampard kutasababisha hao waliokwenye mkopo kuweza pata nafasi. Ndio maana ukiangalia tumeuza na kurelease wachezaji wengi, Bertrand, Cole, Lampard, Luiz. Wanne wamepungua
Sawa upo sahihi....!! Nimekuelewa. Lakini replacements wa hayo magep sidhani kama ni loan players, lazima asajili wengine wapya.
 
Unakimbia maswali ya msingi mkuu!! Nilivyokutajia huyo kipa unaanza kugwaya na kucheza na maneno ilhali ukiisahau kauli yako kwamba sera za chelsea kwenye mikataba after 30yrs...mbona hukuspecify kuhusu makipa mpaka mi nilipokupa hoja? Kwani kipa sio mchezaji?Mbona hujajibu maswali yangu muhimu? Nipe quote ya vifungu kisheria vya wachezaji na mikataba yao hapo darajani..!! Hope itaspecify kama makipa wamo au hawamo!!

Welcome.


Mimi nimekuuliza maswali hapo nyuma lkn umechagua ujibu nini na nini uache! Na swala la Mzee wenu Wenger kuomba msamaha hujataka kabisa kulijibu! Teh Teh Teh

Anyway niko na kz Mkuu tutaendelea badae kidogo! Thx
 
Mimi nimekuuliza maswali hapo nyuma lkn umechagua ujibu nini na nini uache! Na swala la Mzee wenu Wenger kuomba msamaha hujataka kabisa kulijibu! Teh Teh Teh

Anyway niko na kz Mkuu tutaendelea badae kidogo! Thx
Nimekujibu ila hujasoma mistari yangu...nimesema hivi #Fans Club wana nguvu(team zote za uingereza).
Anyway kazi njema.
 
Sawa upo sahihi....!! Nimekuelewa. Lakini replacements wa hayo magep sidhani kama ni loan players, lazima asajili wengine wapya.


unatufundisha kazi ambayo sisi ndo wataalamu?

nyie kazi yenu si kukuza vipaji? kuzeni vipaji sisi CHELSEA FC tuje kusajili.


🙂
 
ok vipi ishu ya GERVINHO?

JUAN MATA kauzwa hela nzuri tu; M.37 si mchezo.
DAVID LUIZ beki ghali zaidi duniani kwa sasa; M.50.

hoja yako nini?
Huenda nabishana na mtu asiye na uelewa!! Kwani Mata alifukuzwa ama aliondoka mwenyewe? Naomba Jibu!! Kwanini sijasema Kalou alifukuzwa? Kwanini sijasema Ballack alifukuzwa? KWanini sijasema Luiz alifukuzwa? Nipe majibu
 
ok vipi ishu ya GERVINHO?

JUAN MATA kauzwa hela nzuri tu; M.37 si mchezo.
DAVID LUIZ beki ghali zaidi duniani kwa sasa; M.50.

hoja yako nini?
Nashukuru kwa majibu yako Ingawa umekuwa kipofu kwa kutoona hoja yangu!! Hao wote(Mata na Drogba) ni kama wamefukuzwa kwakuwa kwa mazingira yalivyokuwa kwa nyakati zao huezi tena kuendelea kuitumia Chelsea ilhali unaona hali ya hewa si nzuri, na ndio maana unaachiwa mwenyewe ujipime. Hivi kauli kama ya Morinyo "Tunakuhitaji Mata ila kama unataka kutoka milango iko wazi" we unafikiri ina maana gani? Kwamba club haimuhitaji-amefukuzwa!!
 
agosti 8 Ntuzu Sizinga naomba nidakie hii mada....nafikiri neno 'kufukuzwa' kwenye soka ni pana sana na sio ile ya kuambiwa 'ondoka we dont need you'....ukimfukuza mchezaji itabidi umlipe mkataba uliosalia na ataondoka bure unless amevunja terms za makataba refer ADRIAN MUTU. lakini nahisi anachosema Sizinga ni ile ya 'akufukuzae hakwambii toka' utaona mambo tu yanabadilika.

mfano mzuri ni patrick viera, hakufukuzwa direct ila alichoambiwa ni kama kafukuzwa, viera baada ya fitness kushuka wenger alimfuata akamwambia ac milan wametoa ofa kiasi fulani uko tayari kwenda?? kwa mujibu wa viera na mtu yeyote mwenye akili timamu ni kwamba timu hii hatukuhitaji! huwezi kumwambia mchezaji wako unaemtaka issue kama hio. hayo ndio yaliyowakumba akina jaap stam,roy keane,david beckham man utd ila in deep walifukuzwa.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom