Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,540
- 7,371
wewe una matatizo makubwa sana; mie sijawahi kumtetea mchezaji yeyote. mie nimesema kila siku hapa jamvini kwamba CHELSEA FC ni kubwa kuliko mchezaji yeyote. acha uongo Sizinga.
Lampard na Terry wanaheshimiwa sana; na wataendelea kuheshimiwa. Huo ndo utamaduni wa Chelsea.🙂
Huo Ukweli nyie hamtaki kuukubali...ila nawaambia kwamba #Fans wa #Chelsea ndo waliforce kumbakiza Lampad!! These ChelseaFans are so strong mpaka #AbroMapesa akawakubalia. Otherwise ingekua ni nguvu ya bosi tu ...Agh tangu 2012 Lampad alikuwa hana chake!!Acha unafiki sizinga.
Si lampard wala Cole wala drogba ALIEFUKUZWA Chelsea.
Sera ya Club ni Kwamba from 30yrs retirement ndio mpango mzima na kama ni mkataba ni mwaka mmoja mmoja tu.