Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Obebe Ng'walu ginehe? Yani oleshabikia masamva gaza? Au no bebe ole na masamva?
Dada yng tayari nimeshakujbu!
Basi Kumbe unaufahamu mpira! Kwasababu Km unafahamu hivyo vitu ni umeshafahamu mpira!
Alafu Tarehe 3 mwezi ujao tutakua tunacheza na Man City! Usikose kuiangalia hiyo game dada yng na tutakua hapa hapa tukitoa updates live!
Karibu sn kwa Mabingwa watu wenye furaha siku zote!
bhebhe shi..ma mulungu ga hasi agenayo..nali waza aza,damu yane ya za.netogilwe i man u giti matobholwa mjidiku
R.kaka yupo ac Milan na sio MadridDrogba nae yuko Garatasaray ya Uturuki na Recardo Kaka yuko Real Madrid.
Karibu the Blues uwe shabiki wetu kabisa!
Kuna wachezaji wengi wazuri utawapenda tu na wanacheza mpira Km Makelele.
Gashi naga obebe na otale bado gete! Olehaya genago mamilungu! Yaya gete nalemaga gete gete! Onene abatale bane habene nabhakogije gete abo bha lala mmakegela!
Eman U yachile yaja na gogowing'we le Alekisi Fagasoni!
Ng'waluuuu! Yaaaa!
R.kaka yupo ac Milan na sio Madrid
lekaga ugunipembela mna ntuzu ebhe..nalitogilwe ili timu lyenilo..nu fagasoni dankubulile
wee..damu yangu sio ya blue
Igashaga ne geko Nkoi! Nakowelaga ele timu ling'we lechile lyaja na Fagasoni no bebe olemmishi nno!
Ekaniki yako heyo ozwalile enalangi keh? Omba le bluuu?
marhabaaa..kipindi cha mpito tu hiki..nyie wenyewe mnatutambua