Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,267
United's miserable 3-1 defeat ended with Nemanja Vidic receiving a red card.
Taifa kubwa!!!...Nuff sed!.....Go Ze Bluzz!!!
Aiseee
Claudio Makelele hayupo Chelsea alikwenda PSG France na kwasasa atakua katundika daruga juu kutokana na umri!
jamani mpenzi wangu kumbe alikuwa mzee tayari ila ana minguvu... drogba yupo wapi na kaka?
Drogba nae yuko Garatasaray ya Uturuki na Recardo Kaka yuko Real Madrid.
Karibu the Blues uwe shabiki wetu kabisa!
Kuna wachezaji wengi wazuri utawapenda tu na wanacheza mpira Km Makelele.
nani ananguvu kama makelele?
Kuna viungo wenye ngozi nyeusi mmoja ni mnigeria anaitwa John Mikel Obi Huyu ana nguvu sn tena ukienda hovyo Lazima uning'inie na mwingine Ramires Huyu ni mbrasil ana mwili Wa kawaida lkn king'ang'anizi huyo vibaya! Yani adhibiti mijitu mijibwa sn Km mikina Yaya Toure!
Karibu sn uwe unafatilia game zetu Najua utaipenda tu Chelsea na rangi yetu ya Blue!
Nguvu za nini?
naipenda chelsea sana ila tu si mtaalamu mzuri wa mpira zaidi ya chenga, faulo, na penati na kanzu sijui tena