Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huwa siwaelewi vizuri washabiki wa ManU pale wanapolalalmikia goli la offside la Drogba pale OT lakini hawataji kabisa goli liliofungwa kwa MIKONO na Macheda kwenye mechi hiyohiyo. Mechi hiyo ilikwisha kwa Chelsea kushinda 2-1. Tukiondoa magoli yote yasiyo halali manake Chelsea wangeshinda 1-0. Bado ni kichapo palepale mkuu, just get over it.

Chifu, that was just a reference to show how decisions have gone against United. But people tend to forget and brand United as a team with a 12th man named 'Howard Webb'.

United has been a victim of debatable decisions so many times. But as United is the biggest and successful club in England, it has many haters too.

In addition, many times incidences that have gone in favour of the so called big teams. Just recently, Chelsea vs. Aston Villa, with Ivanovic escaping a red card and scoring the winner; and Lampard's handball in the penalty box! But because you are so obsessed with United, you tend not to see such incidences.

Oh! Most recently, is again, Lampard's handball at United vs. Chelsea. If it could have been United, you could have seen the media frenzy on the matter. Ashley Cole should have received a yellow card with such a dive, pretending to be fouled by Jones. But, again, your eyes only see when decisions favour United.
 
VUVUZELA leo unamkumbuka Benitez? si mlikuwa mkimsaliti kwa kila upande na kusema eti SPECIAL ONE ANAKUJA
I'm neither a Chelsea fan and nor Jose's fan either, but I was amused by the brand of football that Chelsea were playing under Benitez especially during the last 10 games. It was very entertaining to watch, fluid, accurate passing, and the attacking was amazing! Under Rafa you had Ramirez, Matta, Oscar, and Hazard all as starters and these guys were awesome to watch.
 
Huwa siwaelewi vizuri washabiki wa ManU pale wanapolalalmikia goli la offside la Drogba pale OT lakini hawataji kabisa goli liliofungwa kwa MIKONO na Macheda kwenye mechi hiyohiyo. Mechi hiyo ilikwisha kwa Chelsea kushinda 2-1. Tukiondoa magoli yote yasiyo halali manake Chelsea wangeshinda 1-0. Bado ni kichapo palepale mkuu, just get over it.

Chifu, that was just a reference to show how decisions have gone against United. But people tend to forget and brand United as a team with a 12th man named 'Howard Webb'.

United has been a victim of debatable decisions so many times. But as United is the biggest and successful club in England, it has many haters too. For instance, last season, do you remember:

1. Tiote's malicious tackle again Cleverley? No red card shown!
2. Torres' high tackle again Cleverly? No red card shown!
3. Tevez's kick against Jones? No red card shown!
4. Young's goal incorrectly disallowed as offside against Man City?
5. RvP's over the line shot not awarded as a goal against reading?
6. Spurs game, Nani's clear penalty shout not awarded? Sandro's handball not awarded as a penalty?

In addition,there are many times incidences that have gone in favour of the so called big teams. Just recently, Chelsea vs. Aston Villa, with Ivanovic escaping a red card and scoring the winner; and Lampard's handball in the penalty box! But because you are so obsessed with United, you tend not to see such incidences.

Last season:
1. David Luiz's tackle on Walters against Stoke. No red card shown!
2. Torres' offside goal against Reading!!
3. Tevez offside goal against Southampton!
4. Man City vs. West Ham, Nolan's goal incorrectly judged as offside!
5. Man City vs. Liverpool, G. Johnson's penalty shout not awarded!
6. Arsenal vs. QPR, Arteta's goal awarded despite being offside!!
Etc.

Oh! Most recently, is again, Lampard's handball at United vs. Chelsea. If it could have been United, you could have seen the media frenzy on the matter. Ashley Cole should have received a yellow card with such a dive, pretending to be fouled by Jones. But, again, your eyes only see when decisions favour United.

For the big teams, there are too many decisions that have favoured the teams; and not only United, but Chelsea, Arsenal, Man City and even Liverpool.

So, stop this 12th man nonsense cries for United.

You can visit debatabledecisions.com for more info.
 
maneno yako kweli na huyu Jose ataharibu kwa sana tu Chelsea walikuwa tayari wameelekea kwa Benitez lakini kubadilisha Coach utakuja nieleza hapa mwaka huu bundi hachezi mbali
I'm neither a Chelsea fan and nor Jose's fan either, but I was amused by the brand of football that Chelsea were playing under Benitez especially during the last 10 games. It was very entertaining to watch, fluid, accurate passing, and the attacking was amazing! Under Rafa you had Ramirez, Matta, Oscar, and Hazard all as starters and these guys were awesome to watch.
 
JOSE MOURINHO ON THE MONDAY NIGHT GAME:
'I think it's a fair point,' he said. 'Nobody deserved to lose, nobody did enough or nobody was better than the opponent to deserve a clear victory, so I think it's a fair point. For us after home victories to come to the champions and in their first match at home to get the point, I think it's fine, it's positive.

'I played here with four kids under 22 in attack, for some of them the first time at Old Trafford. They played against the champions, against Ferdinand, against Vidic, against Evra. My kids behaved very well. They couldn't produce enough to win the game, we didn't have as many situations as we expected to, we missed some easy passes but the boys were fantastic. The kids were fantastic. The whole generation was brilliant. It's a very good quality for my team.
'My team needs this because it is a team with a lot of talent but at the same time they need to know how to play in difficult circumstances.They know how to think tactically, how to think in a result if the result you want is not possible. For me it was fantastic. Andre Schurrle playing aginst Evra, Oscar playing in different positions. For me it was fantastic.
'It's not a victory, only one point, and not the best match but when you try to educate these kids and make them competitive men, playing in a team that wants to win the title, you need to play the match where you play amazing football but you need also to play the match where you thought tactically for 90 minutes, so I praise my people. They had a good start to the season, two victories at home and one point at the champions' home.'
 
Historia haifutiki chifu....mpaka pale timu zitakapoweza kuvunja hiyo rekodi ya Man United, timu kama Chelsea, Arsenal na Man City zitabaki kuwa wee clubs.

Mtabaki kuwa ni vijitimu tu vinavyoshiriki ligi kuu, ili kuleta changamoto.

Mnavyosema '12th man' ndiye alikuwa msaada wa United, mnafikiria kweli?!? Ni mara ngapi referees wamefanya maamuzi yaliyoigharimu United?? Mfano, goli la offside la Drogba pale OT!! Na misimu yote United inapokuwa bingwa huyo Webb alikuwepo kama referee? Webb kaanza kazi ya ureferee katika ligi mwaka 2003, kipindi hicho United wana makombe ya ubingwa kibao. Sasa kabla ya hapo United alikuwa akishindaje?!?

Hamna reasoning zaidi ya kudhiirisha kama alivyosema SAF, you are just another wee club.

Ferguson: 12 premier league and just two European cups, doesnt this tell anything?
 
Peasant mkuu achana na nzi...anaongelea historia sisi tunasonga mbele.

anyway mimi nadhani zaidi ya kuwa na striker tunahitaji midifeld watatu badala ya wawili. Hapo sitaki kufanya speculation ya nani apangwe ila kitu kama 4-3-3 ingekuwa bomba zaidi.

josemourinhochelseavmanutd20130825_576x324.jpg


[h=2]The politics of parking the bus[/h]Jose Mourinho returned to his old bus parking ways against Man Utd but was it designed to send out a message? John Brewin examines. Read
 
Ferguson: 12 premier league and just two European cups, doesnt this tell anything?

First of all, SAF has:
1. 13 league titles and not 12.
2. 4 European cups (2 UCL, 1 UEFA Cup Winners' Cup and 1 UEFA Super Cup).
3. 5 FA Cups
4. 4 league cups
5. 10 Community shields
6. 1 FIFA Club world cup
7. 1 Intercontinental cup

Secondly, individual achievements:
1. 11 premier league manager of the season awards.
2. 27 premier league manager of the month awards.
3. 4 World soccer magazine manager of the year awards.
4. 1 Laureus world sport award for team of the year.
5. 3 Onze d'Or coach of the year awards.

Go tell your manager/coach to beat that .

Now let me shift to the 'doesnt this tell anything' part.

Apart from Bob Paisley who did win 3 UEFA Champions League titles with Liverpool. No other manager has managed to win it more than 2 times.

Therefore, with such a record, SAF winning 2 UCL titles doesn't tell any stupid nonsense talk about 12th man in the Premier League. In addition, with such a record, it clearly shows how UCL is way tougher than local leagues in Europe. Hence, winning few UCL cups doesn't mean SAF wasn't good or was getting favoured at the local league. if so, how could he win all those titles and awards?

SAF is one of the greatest managers in the history of the game.

So get used to that; if not, get a grip!!
 
josemourinhochelseavmanutd20130825_576x324.jpg


The politics of parking the bus

Jose Mourinho returned to his old bus parking ways against Man Utd but was it designed to send out a message? John Brewin examines. Read

What is this parking the bus shi.t u keep talking about? unajua siwaelewagi kweli yani!??

Kwa sababu kama ni kupaki basi then nyie ndo mlilipaki juzi esp second half maana pasi ziliacha kuwa zile fupifupi na kuhamia loong passes na ambazo zilikuwa zinafia kwa Valencia na RvP mwenyewe au Welbeck.

Again style ya Mourinho kucheza ni kutumia wing-forwards wenye speed amabo wanaweza kupanda na kurudi haraka ndiyo maana unaona hajaopt sana kumtumia Mata in most of the games..Mata ni mzuri akiwa na mpira but hana speed ya ku-track back kurudia mpira. Sasa kama hiyo tactic mnaiita bus parking u can as well go to hell complaining about it.

We saw Cahill na Ivanovic wakipanda vizuri tu..ila attack ilipokuwa inarudi kwetu the speedy ones like Ramires na Hazard walikuwa washafika to counter the attacks. Oscar was there too to pick the saved balls kurudi kwao.

Problem ninayoiona ni watu wakishaona forwards wamerudi nyuma basi inaitwa kupaki basi...stupid as.s nig.gas...ni kukubali tu kuwa wewe unaspeed kuliko huyu so utarudi nyuma...before huyu hajarudi.

Kupaki bus on the other hand ni pale unapomuona R. Ferdinand 90 minutes hajavuka the half mark ya uwanja...think about it!!!!!
 
Kwa sababu kama ni kupaki basi then nyie ndo mlilipaki juzi esp second half maana pasi ziliacha kuwa zile fupifupi na kuhamia loong passes na ambazo zilikuwa zinafia kwa Valencia na RvP mwenyewe au Welbeck.

Kipindi cha kwanza, umiliki wa mpira ulikuwa ni 57% kwa United na 43 kwa Chelsea. Huku Carrick na Cleverley wakishika dimba ipaswavyo. Carrick alikuwa na pass completion rate ya 87%. Of course, Hazard aliongoza kwa 90% completion rate. Kwa game nzima possession ilikuwa 55% kwa United na 45% kwa Chelsea.

Lakini, unavyosema, United ilipaki basi 2nd half, unamaanisha 2nd half Chelsea walishambulia zaidi ama? Shots on goal na on target unajua zilikuwa ngapi? Jumla kulikuwa na shots on target 7, 3 kwa United na 4 kwa Chelsea. Shots off target zilikuwa 10, 7 kwa United na 3 kwa Chelsea. Sasa kupaki basi kwa United in 2nd half kuko wapi?

United ilikosa creativity katika kusukuma mpira wa mwisho kwa strikers. Carrick na Tom walimiliki sana mpira, lakini passes zao hazikwenda sana kwa strikers. Chelsea had all creative players in the midfield, Hazard, Oscar na Ramires, lakini kutokana na defensive plan, hawakuwa na natural striker. Hivyo creativity yao ikakosa kuonekana, zaidi ya shots 2 za Oscar.

Pia hauijui United wewe. Long passes ni style ya United way back. Pasi fupi fupi uwa United inacheza ikitumia diamond formation. Ambapo SAF alijaribu kuitumia kwa kuwatumia Kagawa, Rooney, RvP na Welbeck/Chicharito kwa panoja. United ni maarufu kwa long passes; hivyo kama uliona matumizi ya pasi hizo ndo dalili ya United kupaki basi, rudi tena ujipange chifu.

Again style ya Mourinho kucheza ni kutumia wing-forwards wenye speed amabo wanaweza kupanda na kurudi haraka ndiyo maana unaona hajaopt sana kumtumia Mata in most of the games..Mata ni mzuri akiwa na mpira but hana speed ya ku-track back kurudia mpira. Sasa kama hiyo tactic mnaiita bus parking u can as well go to hell complaining about it.

De Bruyne naye anaweza kuitwa 'wing-forward' mwenye speed? Ni mzuri zaidi ya Mata katika kuleta ushindi? Halafu, wing-foward ndiyo nafasi gani kwenye soka?!? Kuna left na right wingers ama zamani waliitwa outside forward. De Bruyne alikuwa right winger na Hazard left winger siku ile.

Kwa upande mwingine, Mourinho alitumia 4-2-3-1 huku Lampard na Ramires wakiwasaidia mabeki sana. Yaani naweza nikasema formation ni kama ilikuwa 6-3-1 ama 4-6-1. Sasa, formation hiyo si ndiyo kupaki basi chifu?!? Kwani kwa hiyo formation timu inakuwa defensive minded.

Unaonekana hufahamu style ya Mourinho. Yeye upenda kutumia deep-lying defensive tactical plan. Alipokuwa Inter, alitumia hiyo plan, mpaka akaomba msamaha kwa mashabiki. Alipoenda Real, alifanya hivyo mara nyingi kwa Barcelona, mpaka siku moja akasema, alipark ndege na siyo basi. Huyo ndiyo Mourinho; na katika hilo, hakuna anayefikia perfection kama yeye. Hata ubishe, huo ndiyo ukweli.

Sasa unamlaumu Mata nini? Unataka afanye kazi ya namba 6??? Mtazamo huo ndiyo parking the bus. Eti arudi nyuma! Arudi kufanya nini? Mata ni attacking midfielder ama central midfielder a.k.a playmaker. Unajua kazi za mchezaji wa nafasi hiyo?

We saw Cahill na Ivanovic wakipanda vizuri tu..ila attack ilipokuwa inarudi kwetu the speedy ones like Ramires na Hazard walikuwa washafika to counter the attacks. Oscar was there too to pick the saved balls kurudi kwao.

Mh! Labda mimi sikuwa naangalia mpira, Cahill alipanda mara ngapi na matokeo ya upandaji huo yakawa nini? Husilete upandaji wakati wa kona; kwanza game nzima mlipata kona 1 tu.

Ulivyoeleza, ndiyo alama ya 'parking the bus philosophy'. Ndiyo Mata hakuanzishwa kwani yeye ni attack-minded kuliko wote hao; na amekuwa one of the Chelsea's best players toka amefika hapo.

Kwa attack-minded formation, namba 6 ndiye atakayerudi kusaidia namba 4 na 5. Namba 8 yeye ni playmaker na vilevile anakuwa ni kama mshambuliaje. Ndiyo maana Kagawa akawa mchezaji bora wa Bundesliga, huku akifunga magoli. Lakini kwa Mourinho namba 8 naye anafanywa kama 6!! Si umeona juzi Oscar alivyofanywa? Oscar akiwa na Brazil anakuwa attacking midfielder, lakini kwa Mourinho anakuwa defensive midfielder!!

Problem ninayoiona ni watu wakishaona forwards wamerudi nyuma basi inaitwa kupaki basi...stupid as.s nig.gas...ni kukubali tu kuwa wewe unaspeed kuliko huyu so utarudi nyuma...before huyu hajarudi.

Hakuna haja ya kutukana chifu. Tujadili kama watu wa mpira; na si wa ngumi!

Sasa, siku ile forward alikuwa nani kabla ya Torres kuingia?!? Timu imeanza bila mshambuliaji halisi, halafu unasema haikupaki basi?

Kupaki bus on the other hand ni pale unapomuona R. Ferdinand 90 minutes hajavuka the half mark ya uwanja...think about it!!!!!

Duh! Kweli unazi noma?

Na kona zote zile Rio hakuvuka half mark?!?

Anyway, kazi ya centre back ni kuzuia timu pinzani isifunge magoli, kunyang'anya mipira kutoka kwa washambuliaji wa timu pinzani, na kumlinda kipa. Unataka avuke half mark ili afanye kazi za central midfielders?!? Right and left backs (full backs) wao ndiyo wanaweza kuvuka hiyo half mark mara nyingi; ndiyo maana katika modern soccer hawa right and left backs uitwa attacking full backs. Hao ndiyo kina R. Carlos, Lizarazu, Evra, Clichy, Marcelo, Maicon, A. Cole etc.

Ulishawahi kucheza hata mpira kidogo? Nimeuliza hivyo kutokana kusema Rio alipaki bus, huku ukisema Cahill alipanda vizuri tu, na ukisema Mata hawezi kutrack back mipira!! Inakuwa ni kama huelewi kazi za wachezaji kwa nafasi zao uwanjani!!

Mwisho, filosofia ya mpira wa Mourinho ni defensive game. Hiyo hata ubishe hadi kesho, ndiyo hali halisi. Chelsea ilikuwa ikicheza mpira wa kufunguka sana chini ya Di Mateo na Benitez. Chini ya Mourinho mtapaki basi sana mkikutana na timu kubwa. Tarehe 31 utajionea mwenyewe.

Soma hizi match analyses pia.

www1.skysports.com/football/live/match/295725/analysis

m.premierleague.com/en-gb/matches/2013-2014/epl.match-stats.html/man-utd-vs-chelsea
 
Nzi,

Philosophy ya Mourinho ukiiangalia vizuri utaelewa lengo lake ni kushinda while conceding the smallest number of goals.
 
Last edited by a moderator:
Nzi,

Philosophy ya Mourinho ukiiangalia vizuri utaelewa lengo lake ni kushinda while conceding the smallest number of goals.

Sikuona logic ya Jose kumrudisha Lukaku darajani bora angemwacha WestBtom apate uzoefu nakumbuka last season alitufunga goli 3,nikashangaa Jose kamtupia benchi
 
Last edited by a moderator:
Sikuona logic ya Jose kumrudisha Lukaku darajani bora angemwacha WestBtom apate uzoefu nakumbuka last season alitufunga goli 3,nikashangaa Jose kamtupia benchi

If you think I understand so much of Mourinho's plans then I don't either bro!

The only thing that gives me hope is the quality of players we have that no matter who we put to the field sitokaa na wasiwasi sana moyoni.
 
Sikuona logic ya Jose kumrudisha Lukaku darajani bora angemwacha WestBtom apate uzoefu nakumbuka last season alitufunga goli 3,nikashangaa Jose kamtupia benchi



Ungekuwa na pointi ya maana kama msimu ungekuwa tayri umesogea sana au unakaribia kwisha kabisa. Lakini mpaka sasa tumecheza mechi 3 tu, hivyo pointi yako mashiko. Kumbuka you don't put too much pressure on the young shoulders too early. Naamini Mourinho anajaribu kumzoesha taratibu nini ndo maana anaingia kama sub kwa kuanzia then akicheza vizuri anachukua namba. Kama angeanza mechi zote tulizocheza na akachemsha bila shaka pressure ingeanza kumwingia na ndo akachemsha zaidi. Ni muhimu sana ukakumbuka kuwa pressure ya kuchezea Chelsea si sawa na kuchezea West Brom. Expectation at Chelsea is winning trophies, while at West Brom is to stay in the league, completely two different objectives.
 
Ungekuwa na pointi ya maana kama msimu ungekuwa tayri umesogea sana au unakaribia kwisha kabisa. Lakini mpaka sasa tumecheza mechi 3 tu, hivyo pointi yako mashiko. Kumbuka you don't put too much pressure on the young shoulders too early. Naamini Mourinho anajaribu kumzoesha taratibu nini ndo maana anaingia kama sub kwa kuanzia then akicheza vizuri anachukua namba. Kama angeanza mechi zote tulizocheza na akachemsha bila shaka pressure ingeanza kumwingia na ndo akachemsha zaidi. Ni muhimu sana ukakumbuka kuwa pressure ya kuchezea Chelsea si sawa na kuchezea West Brom. Expectation at Chelsea is winning trophies, while at West Brom is to stay in the league, completely two different objectives.
So far Chelsea ina Ba,Torres,Lukaku na still Etoo anakaribia kutua na system ya Jose ni kuchezesha striker mmoja,umeona yule kipa aliyepelekwa kwa mkopo Atletico Madrid jinsi alivyoimprove
 
So far Chelsea ina Ba,Torres,Lukaku na still Etoo anakaribia kutua na system ya Jose ni kuchezesha striker mmoja,umeona yule kipa aliyepelekwa kwa mkopo Atletico Madrid jinsi alivyoimprove


Najua Lukak ameimprove pia, alkini huwezi tu kumwanzisha kwenye ngumu za mwanzo wa msimu. Kumbuka confidence ya timu na wachezaji inajengwa na matokeo, na matokeo ya mwanzoni mwa ligi ni muhimu zaidi kwa confince ya msimu mzima. Naamini dogo atapata nafasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom