Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

As per networth.com, Boehly's current net worth sits at £4.72billion. He is the co-founder, chairman and CEO of Eldridge Industries. Eldridge is a holding company with offices in New York, Boston and London, and have a history of investment in industries including technology, media, real estate and sport.

Kwa hiyo jamaa anainunua ili abaki maskini?
Pumba ya karne sijawahi kuona mtu unachota tu taarifa na kudakia mada usioijua
 
TETESI ZA LEOLEO
  1. Serikali ya Uingereza kuthibitisha uuzwaji wa Chelsea kwa Todd Boehly na wenzake ndani ya saa 24
  2. Jules Kounde kaonekana mitaa ya London leo asubuhi
  3. Lewandowski target yetu kuu, tumpe Bayern nani kati ya hawa, Werner, Pulisic, Lukaku?
Lukaku asepe. Warner kuna muda anasaidia kutawanya wapinzani tatzo umaliziaji wake sio mzuri saana
 
Hakuna mchezaji muingereza aliyefunga magoli mengi kumzidi Tammy Abraham(17) katika ligitano kubwa ulaya.

Muda utasema yanajirudia yale ya KDB, Salah. Pia tusisahau Fikayo Tomori ndio amekua muhimili wa defense ya Ac Milan msimu huu mpaka kupelekea kubeba ubingwa wa Seria A.
 
Mnarahaaa gani nyie mnalala saizi ,amkeni amkeni amkeni
jackgrealish-20220524-0001.jpg
 
TOTTENHAM wameshamwaga mpunga mezani View attachment 2237057
Napenda msimamo wa Conte, mmiliki asipomwaga pesa za usajili na bodi isipomsikiliza anasepa, ndivyo alivyofanya Inter na ndivyo alivyotaka kufanya Spurs na ndio maana mmiliki akapanic na kumwaga pesa. Hizo pesa zikitumika vizuri zitaipeleka Spurs mbali zaidi UCL na EPL
 
Hakuna mchezaji muingereza aliyefunga magoli mengi kumzidi Tammy Abraham(17) katika ligitano kubwa ulaya.

Muda utasema yanajirudia yale ya KDB, Salah. Pia tusisahau Fikayo Tomori ndio amekua muhimili wa defense ya Ac Milan msimu huu mpaka kupelekea kubeba ubingwa wa Seria A.
Mkuu hizi ligi tatu nazifuatilia sana
  1. EPL
  2. Laliga na
  3. Serie A
Only EPL katika hizo tatu ndizo zenye presure kubwa kwenye final third ya timu pinzani bila kujali position ya timu kwenye ligi.
Strikers wengi wanafeli EPL kwa sababu ya hiyo
Ukiwachambua mastrikers mmoja baada ya mwingine utagundua jinsi magoli yao yanavyopatikana
Mfano Lukaku ili afunge lazima kuwepo na a bit of open play(kwa maana ya space kwenye final third), ikishakuwepo pressure kubwa nikiwa na maana agresive defenders na ukuta mzito midhili ya kupaki mabehewa bandarini, Lukaku hawezi kufunga
Tammy Abraham magoli yake yanapatikana sio kama za Lukaku,
  1. Mabeki hata wawe wengi ila wasipokuwa agressive na kuweka pressure kwa mfungaji (hapa namaanisha beki zembe), Tammy ni mfungaji mzuri
  2. Pili mabeki wakiwa na makosa makosa mengi, Tammy anajua kutumnia hizo mistakes kufunga na ndio maana akiwa EPL amezifunga sana klabu kama hizo zenye makosa makosa mengi kama Leeds na Norwich and co.
Kwa maelezo haya mimi naamini akirudi EPL atakuwa mfungaji wa regular goals unless aongeze kitu kwenye style yake ya uchezaji hasa kuwa mbunifu na fast kwenye kufanya maamuzi sahihi akiwa kwenye final third ili aweze kuforce ufungaji kama Salah au Son au Kane
Bahati mbaya Chelsea bado kupata mastrikers wanaoweza kufunga kwa
  1. Kutumia makosa makosa ya mabeki
  2. Kuwa mbunifu kwenye ufungaji
  3. Kufanya fast and correct decisions ya aidha kuassist au kufunga kwenye final third
Kwa hiyo unapoweka imani yako kwa Tammy, ebu angalia style ya ufungaji wa hayo mabao na je kwa style hiyo anaweza kufikisha the same number akiwa EPL?
 
Todd Boehly is ready to hand #Chelsea head coach Thomas Tuchel £200M to spend this summer. Boehly is ready to act quickly and decisively once the takeover has been completed.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom