Ilakiza Kibod
Member
- Aug 3, 2019
- 86
- 74
Lukaku Ni tapeli jamani....mechi sita bila goli
Approach ya makocha zinatofautiana, Klopp is Klopp and TT is TT, washabiki wanachotaka kwanza ni matokeo pili burudani, burudani ikishindikana potelea pote matokeo kama ya jana, tumelala tukiwa na amani, tofauti tungecheza vizuri kama Liverpool halafu tungaambulia sare ya 3-3Naangalia timu kama Liverpool ikiwa inashambuliwa formation yao huwa haivurugiki na huwa hawapaki bus kujilinda.
Liverpool kujilinda kwao pindi wanaposhambuliwa ni kwa kutoka haraka langoni kwao kupiga mipira kwenda mbele na wanapanda haraka kuizuia huko huko juu isirudi tena langoni mwao.
Sisi hapa tukiokoa mipira langoni mwetu ikienda mbele, ghafla inarudi tena nyuma kwa kasi ya 4g. Mabeki wanachoka kukaba, Mendy anaona rangi zote.
Kujilinda sio lazima kupaki bus, na kuvuruga formation nzima ya uchezaji, Kuna mbinu nyingi za kujilinda na bado tukawa hatari kwenye kushambualia.
Jana Azpi hakucheza vizuri, viungo karibu wote, aliyejitahidi kidogo ni Cheek, Mbele walikuwa bado likizo ya International BreakKuna comments nashindwa kuzielewa hapa, mtu anasema bora mechi ya jana wangekuwepo Rudger na Silva
Sasa wangekuwepo wangesaidia nini?
Mimi sioni point hapo kwa sababu hatujafungwa ina maana jana defensive (beki + kipa) wamefanya kazi nzuri ndio maana hatujafungwa.
Point ni kwamba kwanini defensive yetu ililemewa?
Jibu ni kwamba kiungo yetu kwa kushirikiana na kule mbele hawakufanya kazi yao, hawakupress kwa nguvu, kupora mipira na kushambulia kwa nguvu ili kuwadhibiti Brentford wasitushambulie sana.
Ukweli ni kwamba tulizidiwa kwa sababu safu mbili za mbele hazikufanya kazi yake inavyotakiwa.
Beki wanaokoa na kupiga mpira mbele, ghafla umerudi tena langoni mwetu kushambuliwa kuko pale pale.
Kuna Msemo mchambuzi wa mpira Ambangile huwa anasema wachezaji wasimame wahesabiwe.
Jana wachezaji wetu wa safu ya kiungo na ushambuliaji kule mbele wangesimama wahesabiwe kwanini jana walicheza kwa kiwango/ubora duni.
tatizo halikuiwa nyuma, mabeki walikuwa ni waadhirika wa uzemebe wa viungo na mbele. Jana Sar na Chalobah ndio walitubeba, fuatilia replayUfupi nao ulichangia, nazani Rudiger na Silva hali ingetulia
Kocha akifanya vizuri anasifiwa, akifanya vibaya anasimamishwa. Kama tu FL legend wetu kasimamishwa nani wa kubaki. TT mwenyewe anajuaIla tunamsifia sana TT kwa vile anafanya vizuri sasa ivi akija akianza kuboronga sifa zote zisije zikapotea
Kwa jana honestly Tuchel got it wrong especially kwenye team selection, most of players were too conservative, not flexible Cant keep up the ball, ndio maana nakubali labda Ruediger na Silva wangeweza kubadili mchezo, sasa Chelsea kuamua kuSit deep ilimake it easy for Brentford when sustaining pressure, Liverpool klopp's 433 system is well implemented , wachezaji wanatake risk decision sababu wanajua someone else is covering so inaleta urahisi kufanya uchafu wote wanaojisikia.Naangalia timu kama Liverpool ikiwa inashambuliwa formation yao huwa haivurugiki na huwa hawapaki bus kujilinda.
Liverpool kujilinda kwao pindi wanaposhambuliwa ni kwa kutoka haraka langoni kwao kupiga mipira kwenda mbele na wanapanda haraka kuizuia huko huko juu isirudi tena langoni mwao.
Sisi hapa tukiokoa mipira langoni mwetu ikienda mbele, ghafla inarudi tena nyuma kwa kasi ya 4g. Mabeki wanachoka kukaba, Mendy anaona rangi zote.
Kujilinda sio lazima kupaki bus, na kuvuruga formation nzima ya uchezaji, Kuna mbinu nyingi za kujilinda na bado tukawa hatari kwenye kushambualia.
So wewe sasa ni Liverpool, Arsenal umeshaihama eeh!Kwa jana honestly Tuchel got it wrong especially kwenye team selection, most of players were too conservative, not flexible Cant keep up the ball, ndio maana nakubali labda Ruediger na Silva wangeweza kubadili mchezo, sasa Chelsea kuamua kuSit deep ilimake it easy for Brentford when sustaining pressure, Liverpool klopp's 433 system is well implemented , wachezaji wanatake risk decision sababu wanajua someone else is covering so inaleta urahisi kufanya uchafu wote wanaojisikia.
japo uwepo wa Rudiger na Silva defending approach ingekuwa tofautiHii ndio POINT mkuu
Kabisa aisee ni hatari sana huyo kipaHuyu kwasasa ndio kipa bora pale EPL asee ushabiki pembeni.
Mimi ni real gooner mzee, ila liverpool are interesting to watchSo wewe sasa ni Liverpool, Arsenal umeshaihama eeh!
Final score haiwezi kufanya tusiangalie madhaifu ya timu yetu.Kinachoangaliwa ni final score tu..hizo nyingine mbwembwe tuu
Sure otherwise matokeo mazuri kwa game mbovu ni kubahatisha, na siku zote huwezi kubahatisha mechi 38Final score haiwezi kufanya tusiangalie madhaifu ya timu yetu.
Bado Kuna mechi nyingi Hadi mwisho wa msimu, Kila mechi ni maandalizi ya mechi inayofuatia.
Kipindi Cha pili tumepigwa msako wa sayari nyingine Hilo halikwepeki .
the blues forever
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Chelsea ana chance kubwa sana ya kupata magoal akicheza na timu isiyopaki basi.Chelsea structurally is top, individually they lack creativity then few goals you cant compare with the likes of De bruyne ,Salah, TAA
Siku Mkitangulizwa kigoli kimoja imeisha hiyo hamchomoki.
Tungekuwa clinical kule mbele ndio huu ushauri wako unafanya kazi... Ila as long as mbele hatupo clinical....Naangalia timu kama Liverpool ikiwa inashambuliwa formation yao huwa haivurugiki na huwa hawapaki bus kujilinda.
Liverpool kujilinda kwao pindi wanaposhambuliwa ni kwa kutoka haraka langoni kwao kupiga mipira kwenda mbele na wanapanda haraka kuizuia huko huko juu isirudi tena langoni mwao.
Sisi hapa tukiokoa mipira langoni mwetu ikienda mbele, ghafla inarudi tena nyuma kwa kasi ya 4g. Mabeki wanachoka kukaba, Mendy anaona rangi zote.
Kujilinda sio lazima kupaki bus, na kuvuruga formation nzima ya uchezaji, Kuna mbinu nyingi za kujilinda na bado tukawa hatari kwenye kushambualia.
Lukaku Ni tapeli jamani....mechi sita bila goli
uyu aturudishie billy we2 january na ilo litim lake lazima lishuke daraja anatuaribia mchezaj2 ana jipya[emoji860] Daniel Farke on Billy Gilmour:
“There is no pressure [to play loanees]. We are not here to develop players for other clubs, we are here to win points for this club.
"This is also the challenge our loan players want to have – it is not like they want to play just because we have loaned them and they [parent clubs] want them to play many games. They need to face a challenge and step up to it."
[via The Independent]
Sent using motorola 78