Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 175
Hawa jamaa waliwahisema wako tayari kumnunua Modric kwa pesa wakichanganya na Sturridge, sijui bado ofa ipo pale pale. Kama ipo tunakubali, huyu bwana mdogo kila siku azidi kwenda juu. Akiendelea hivi atakuwa hatari huko mbele ya safari.mkuu pole ila kwenye defense wala huwezi kuwalaumu aisee, that move was classic, tunamuomba sturridge wakuu